Ni ukweli mtupu, hakuna biashara kubwa yoyote ile duniani ambayo inamilikiwa 100% na mtu mmoja, kila biashara ina shareholders zaidi ya mmoja, mfumo huu una faida nyingi sana ukilinganisha na kumiliki biashara yote peke yako.Biashara za hivyo hazipo dunia hii. Labda kama anataka kuuza supu kitongoji cha tandale na maeneo ya jirani.
Hivi Ruge ana asilimia ngapi Clouds?Baada ya sintofahamu ya umiliki halisi wa hisa za wasafi media leo kila kitu kipo wazi, kuna kipindi watu walikadiria diamond kumiliki asilimia 8 ila imekuwa wazi sasa kwamba kijana wetu nembo ya Tanzania Diamond Platnumza Anamiliki hisa asilimia 45 katika wasafi media
Kwa hisa asilimia 45 diamond ana nguvu hizi
1.Kuwepo kwenye Bodi wa kampuni ya wasafi (hapa pia ni c.e.o wa wasafi)
2.Kushiriki katika kutengeneza sera za kampuni
3.kuhusishwa katika mijadala ya mienendo ya kifedha katika kampuni
4.uwezo wa kuuzianna bidhaa na kampuni ya wasafi
5.uwezo wa kupachika mameneja katika kampuni ya wasafi media
6.kuweza kutoa ushauri wa kitaaluma unaoweza kuisaida wasafi media
Tukirudi katika mapato atayopata Diamond ni kwamba mfano wasafi media imetengeneza faida inayobakia kwa wanahisa ya bilioni 1 basi Diamond anachukua milioni 450 huku kusaga akichukua asilimia 53 (milioni 530) na nyingnine asilimia 2 (milioni 29 ) itaenda kwa mwengine ambaye hajajulikana vizuri.
Ikumbukwe kwamba katika makampuni ni kawaida sana kuwa na wanahisa wengi na kuna kipindi hata alieanzisha kampuni huwa na hisa chache kuliko wengine kama ambavyo mwanzilishi wa facebook anavyomiliki asilimia 25 tu za hisa katika kampuni, Vile vile hata kampuni ya Microsoft wengi wamekuwa wakidhani kwamba yupo Bill Gates peke yake ila kuna wanahisa wengine, Ni jambo la kheri mno msanii ambae ni moja ya nembo ya Tanzania kuleta chachu ya wasanii kujikomboa na kuanza kutumia umaarufu na jitihada zao ili wafike mbali.
KAMA IMEKUKERA HAMIA POST NYINGINE
Domo na Zari ni wasanii kwahiyo maisha ya wasanii 90% ni maigizo,10% ndio uhalisia............Domo anajua kucheza na social media,anatumia fan base yake na vijana timu yake aliowaajiri kujipromote kwenye mitandao ambapo kwake inamuongezea dau la kwenye mikataba,hivi promoter ukisikia domo kanunua jumba la milioni 400 hivi ukitaka kumpa show utafikiri utampa ofer ya mili 2 au 3? Kwahiyo hayo majumba wanayonunua kwenye instagram na facebook ni za kiinstagramu tu,They are doin for the instagrammers and facebookers tu,ndio maana pamoja na utajiri mkubwa wa domo alionao kwenye instagram na facebook still anaishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale.hivi lile jumba la sauzi ndo alisha mkabidhi zari?
Hahaha..Unavyorudia kiwanja cha 25x25 kwa kujiamini nahisi kwenye dili la udalali ulipiga pesa na hata upana wa kiwanja ulipima kwa miguu yako mwenyewe.Domo na Zari ni wasanii kwahiyo maisha ya wasanii 90% ni maigizo,10% ndio uhalisia............Domo anajua kucheza na social media,anatumia fan base yake na vijana timu yake aliowaajiri kujipromote kwenye mitandao ambapo kwake inamuongezea dau la kwenye mikataba,hivi promoter ukisikia domo kanunua jumba la milioni 400 hivi ukitaka kumpa show utafikiri utampa ofer ya mili 2 au 3? Kwahiyo hayo majumba wanayonunua kwenye instagram na facebook ni za kiinstagramu tu,They are doin for the instagrammers and facebookers tu,ndio maana pamoja na utajiri mkubwa wa domo alionao kwenye instagram na facebook still anaishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale.
Kama kuna ukweli, alitangaza birthday ya Tiffa kufanyika South Africa na akatoa ticket za offer, Birthday party mpaka leo haijawahi fanyika.Domo na Zari ni wasanii kwahiyo maisha ya wasanii 90% ni maigizo,10% ndio uhalisia............Domo anajua kucheza na social media,anatumia fan base yake na vijana timu yake aliowaajiri kujipromote kwenye mitandao ambapo kwake inamuongezea dau la kwenye mikataba,hivi promoter ukisikia domo kanunua jumba la milioni 400 hivi ukitaka kumpa show utafikiri utampa ofer ya mili 2 au 3? Kwahiyo hayo majumba wanayonunua kwenye instagram na facebook ni za kiinstagramu tu,They are doin for the instagrammers and facebookers tu,ndio maana pamoja na utajiri mkubwa wa domo alionao kwenye instagram na facebook still anaishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale.
DOMO'S HOUSE AT MADALE.Hahaha..Unavyorudia kiwanja cha 25x25 kwa kujiamini nahisi kwenye dili la udalali ulipiga pesa na hata upana wa kiwanja ulipima kwa miguu yako mwenyewe.
Hao ndio wasanii ππππππ.Kama kuna ukweli, alitangaza birthday ya Tiffa kufanyika South Africa na akatoa ticket za offer, Birthday party mpaka leo haijawahi fanyika.
Acha masihara Mkuu Dai na Diddy ni sawa nakulinganisha Bwawa na Bahari.
DOmo naye si wanasema ni Bilionea mkuu kama Dangote.Acha masihara Mkuu Dai na Diddy ni sawa nakulinganisha Bwawa na Bahari.
Ubilionea ni jina tu.....ondoa cost of production....na kodi....na kama kampuni ipo kwenye hasara....basi kiwango cha uwajibikaji ni hicho hicho kwenye asilimia.....sema wtz kwasababu shule ni ndogo..... wanadhani hiyo pesa inabebwa tu.....DOmo naye si wanasema ni Bilionea mkuu kama Dangote.
Sasahivi anaishi kwenye ghorofa bhana
Anachomaanisha mtoa mada ni kwamba faida itakayobaki ,means kodi mshalipa linabaki gawio tu sasa.Hapo wabongo Kwa akili zao fupi wanadhani....hiyo pesa inalambwa kama ilivyotajwa.....hapo unatakiwa kuondoa cost of production plus tax.......na kama kuna hasara basi asilimia zinazomtoka ndio hizo hizo asilimia zake.....ni kisu cha pande mbili.....
Mweh! La madale lina swimming pool, la Las Vegas lina nyasi tu! Madale hoyeeeee
Watu wanapagawa na maisha yake ya kwenye mitandao...Hajajiulizi kama ni Bilionea kweli kwanini mpaka Leo nyumba yake inayojulikana mpaka anaiimba kwenye nyimbo zake za Utanipenda na Baila ni Ile Ile ya Madale kwanini hana nyumba nyingine?!Domo na Zari ni wasanii kwahiyo maisha ya wasanii 90% ni maigizo,10% ndio uhalisia............Domo anajua kucheza na social media,anatumia fan base yake na vijana timu yake aliowaajiri kujipromote kwenye mitandao ambapo kwake inamuongezea dau la kwenye mikataba,hivi promoter ukisikia domo kanunua jumba la milioni 400 hivi ukitaka kumpa show utafikiri utampa ofer ya mili 2 au 3? Kwahiyo hayo majumba wanayonunua kwenye instagram na facebook ni za kiinstagramu tu,They are doin for the instagrammers and facebookers tu,ndio maana pamoja na utajiri mkubwa wa domo alionao kwenye instagram na facebook still anaishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale.
mkuu uwe unasoma neno kwa neno, nmeandika "faida inayobakia kwa wanahisa " ama kwa kimombo accountants tunaiita "profits attibutable to share holders" kwenye consolidatred accounts ambapo itakua attributable kwa controlling interest na non controlling interest as per IFRS 10, Afu hio cost of production inahusianaje na wasafi media ambao hawafanyi manufacturing ya goods au ndo umekariri juu juuHapo wabongo Kwa akili zao fupi wanadhani....hiyo pesa inalambwa kama ilivyotajwa.....hapo unatakiwa kuondoa cost of production plus tax.......na kama kuna hasara basi asilimia zinazomtoka ndio hizo hizo asilimia zake.....ni kisu cha pande mbili.....