Alikuwa akimaanisha "running costs"mkuu uwe unasoma neno kwa neno, nmeandika "faida inayobakia kwa wanahisa " ama kwa kimombo accountants tunaiita "profits attibutable to share holders" kwenye consolidatred accounts ambapo itakua attributable kwa controlling interest na non controlling interest as per IFRS 10, Afu hio cost of production inahusianaje na wasafi media ambao hawafanyi manufacturing ya goods au ndo umekariri juu juu
Inaitwa kodi ya zuio sio gawio..Mkuu kwa faida ya wengine;
Cost of production hapa haimhusu Diamond. Hii gharama ya uzalishaji inatolewa kwenye mapato (sales) za kipindi husika.
Gharama ambayo Mondi atakatwa ni kodi ya gawio (dividend) ambayo kitaalamu inaitwa "With holding tax".
Yeye ni mwanahisa, baada ya kulipa gharama zote ikiwemo na kodi ya makampuni/mashirika kitaalam inajulikana kama "corporate tax", utaitishwa mkuu (AGM) kwa lengo la kukubaliana kama kuna ulazima wa kutoa gawio kwa mwaka husika au la. Wakikubaliana kutoa gawio ndiyo kila mwenye hisa atapata kulingana na idadi ya hisa zake na kila gawio litakatwa with holding tax ya 5%.
Hahaha penny kwanini humpendi diamond??
Msimpige mwenzenu banaKwahyo Tcra wameweka non legal document regarding shares za Wasafi Media, Kama makataba wa siri then imekuaje wewe umeujua mpaka kiasi cha shares?
Watanzania huwa wanataka kila mtu aishie kuwa maskini..yani wanatamani chibu nae aje awe kama kina feruzi
Ha ha ha ha Usjal mzima lakin?Bro bana huyo ni dai diehard fan hapo alikua ananidhihaki tu.
Msimpige mwenzenu bana
Ha ha ha ha Usjal mzima lakin?
Anapenda sifa sana yule kuonekana ana kila documents kumbe hola
๐๐๐
Kabisaaaaaa
Aka crop na kuweka jina lake huku mdau humu aliirusha kwenye uzi mmoja jana..
Nachotaka kusema ni hivi,Unataka kusema nini mzee?
Unazo documents za umiliki wa Wasafi yote kwa ujumla?
Ha ha ha ha naona msimu huu mshaanza maneno yenu ya jeur enhee?Mzima kabisa,umeadimika droo za simba
Ili kumkomesha huyu mtu tuanze weka majina yetu kwa kila picha tuzirushazo ataumbuka vibaya maana vingi anatolea humu
Ha ha ha ha naona msimu huu mshaanza maneno yenu ya jeur enhee?
Hamna akili yes, namiliki kampuni yangu hela yangu yote asilimia 100, wanangu sharing. Akili hamna hamuoni hapo Kusaga kaandika jina la mkewe?Yes Diamond anaweza miliki asilimia 100 zake zote akazigawa kwa kuandika majina ya esma au mama yake. Nyambafu tumieni akili zenu vizuri.victoire unisex saloon & spa....kama kampuni yako ni hii mkuu basi sawa.
Hivi weweKwa mfano una kasaluni kako hapo saluni una mfanyakazi mmoja au wawili.. mapato ni laki moja 100% ukitoa mishahara na kodi tayari sio 100% hivyo kuna sehem ya asilimia kadhaa utatoa ili kulipa mishahara na kodi hapo tayari huo umiliki wako asilimia 100 utabakia jina tu lakini kipato halisi ni chini ya 100%.ambacho ndio utabakia nacho.
mwache DAIMONDI apate anachopata ila ataendelea kujulikana ni mmiliki mmojawapo wa WASAFI.
wakikusikia๐๐Jamaa Domo ni Bilionea lakini anaishi kwenye kiwanja cha miguu 25 kwa 25 ndio bilionea wa kwanza Manager wake salamu hana nyumba ๐๐๐๐๐๐๐.