britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ndio eti UBOHO UNATIBU UKIMWI😂😂😂😂Mh uboho huuu huu tunaoujua au uboho mwingine
Mh Sasa mtu sijampenda wanapandikizaje Uboho wake kwangu jamaniNdio eti UBOHO UNATIBU UKIMWI😂😂😂😂
Statement zingine bwana
Njoo nikupandikizeMh uboho huuu huu tunaoujua au uboho mwingine
SitakiNjoo nikupandikize
mpuuzi mpuuzi tu
YesKwa kiingereza bone marrow
Haha sasa ndo jina lakeItafutieni jina lingine la kiswahili.
YesHii tiba mpaka ije ifike ulimwengu huu wa tatu labda baada ya miaka kumi ijayo na pia gharama zake itakuwa ni kubwa mno.
Wewe unaujua upi mkuu?Mh uboho huuu huu tunaoujua au uboho mwingine