"Uboho" unatibu UKIMWI, je waujua "uboho" wenyewe? Huu hapa

"Uboho" unatibu UKIMWI, je waujua "uboho" wenyewe? Huu hapa

Jana usiku home na wazaz tunapiga msosi huku tunaangalia taarifa ya habari mara naskia dawa ya ukimwi imepatikana inaitwa uboho duu ilibidi nifumbe macho kwa dakika kadhaa nisisikie kinachoendele maana sio kwa mjina huo utadhani aliye gundua ni msukuma
 
Ila mimi nafikiri ni mbinu ya mzungu kujiongezea mafans sasa nyie jiachieni halafu jamaa waingie mitini akili muzungu ni kama zote tu
 
Hii tafsiri ya uboho sikubaliani nayo ...wakati tunasoma tulifundishwa neno la "uroto"
Uroto mwekundu wa damu -red bone marrow

Uroto mweupe wa damu-white bone marrow.

Uboho ni neno jipya.

Pia kilichotumika kama tiba kwa huyo UK PATIENT ni stem cell....Selimundu shina
Kumbe uliingia darasani?
 
Amber Rutty kapandikizwa UBOHO sasa ni mzima kabisa.
Hebu muambie mhehe atamke neno UBOHO au Mzaramo
 
Hii tafsiri ya uboho sikubaliani nayo ...wakati tunasoma tulifundishwa neno la "uroto"
Uroto mwekundu wa damu -red bone marrow

Uroto mweupe wa damu-white bone marrow.

Uboho ni neno jipya.

Pia kilichotumika kama tiba kwa huyo UK PATIENT ni stem cell....Selimundu shina
Bailojia na Kiswahili upo vizuri mno

Siasa ndipo tu unapo fail.

Kudos Mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu unaouona hapa ni "Uboho"

View attachment 1039164

BBC wame report haya chini

Mtu mmoja aliyekuwa ameambukizwa UKIMWI amegunduliwa kuwa hana tena virusi hivyo baada ya kupandikiziwa seli za uboho(stem cells).
Madaktari wamegundua hilo baada ya vipimo kukosa viini vinavyosababisha ugonjwa huo.
Huyu ni mtu wa pili duniani ambaye amepatikana hana virusi vya UKIMWI baada ya kupandikizwa uboho.
Tukio hili limeibua upya matumaini kuwa juhudi za kupata kinga dhidi ya UKIMWI na virusi vinavyosiababisha huenda zikazaa matunda karibuni.
kama naiona akili ya mwandishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiba kwa umati bado sana->
The problem is that there aren’t enough people with naturally occurring CCR5 mutations to serve as bone marrow donors for all HIV patients. Instead, scientists are hoping to create CCR5 mutations. They first plan to remove the blood-forming stem cells in a person’s bone marrow and mutate the CCR5 gene. The idea is that those genetically altered cells would then repopulate the person’s blood system with one that lacks CCR5 and that HIV won’t be able to infect.
 
Wauza Kongoro jiandaeni kutajirika huku tukiwa tunasubiria maelekezo sahihi ni Uboho upi ndio unatibu hiyo kitu...
 
Huu unaouona hapa ni "Uboho"

View attachment 1039164

BBC wame report haya chini

Mtu mmoja aliyekuwa ameambukizwa UKIMWI amegunduliwa kuwa hana tena virusi hivyo baada ya kupandikiziwa seli za uboho(stem cells).
Madaktari wamegundua hilo baada ya vipimo kukosa viini vinavyosababisha ugonjwa huo.
Huyu ni mtu wa pili duniani ambaye amepatikana hana virusi vya UKIMWI baada ya kupandikizwa uboho.
Tukio hili limeibua upya matumaini kuwa juhudi za kupata kinga dhidi ya UKIMWI na virusi vinavyosiababisha huenda zikazaa matunda karibuni.
Yaani uboho huuhuu unaoleta ukimwi leo tena unatibu Ukimwi. Tehh teheee he khoo

Just kidding!!!!!

Hilo jina mmmhhh. Hoyo dawa watafute jina lingine kinongobongo
 
Back
Top Bottom