dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 596
- 1,475
Hyo itakuwa ni ndoto sizani kama unayemuona ni yeye bali ni subconscious mind yako ndio inafanya hivyonitaonana nae ndotoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo itakuwa ni ndoto sizani kama unayemuona ni yeye bali ni subconscious mind yako ndio inafanya hivyonitaonana nae ndotoni
Kweli kabisa mkuuKwa muda, lakini mwisho mwili mzima huwa Mzoga na kubaki mifupa tu.
Wengi wanadhani sisi ni miili yetu, lakini sivyo, sisi ni nafsi iliyo ndani ya mwili. Na kifo ni kitendo cha nafsi kutoka kwenye mwili na kwenda katika Realm/dimension nyingine.Kweli kabisa mkuu
Scientifically proven,ukifa unajua kua umekufaScientifically hapana ila spiritual ndio watu wa dini wanasema hapo ndio mtu anaonyesha matendo yake yote na wapi ataenda kama ni sehemu nzuri au sehemu mbaya
Dalili za kawaida kabla ya kifo:Tupe dalili hizo nasi tupate kuzijua japo kidogo
Ukilala usingiz mzito akili yako inafanya Kaz mkuuUnavyokuwa umelala usingizi mzito bila kujitambua, na kifo kiko hivyo hivyo
Ni kweli mkuuBinadamu huwa anakufa kwa hatua na ubongo ndiyo sehemu ya mwisho kufa. Ubongo ukifa hapo lazima sasa iende mochwari.
Brain is an engine after the heart.Kifo ni wakati ubongo unapoacha kufanya kazi na sio moyo kuacha kufanya kazi. Ubongo ukiacha kufanya kazi ni mwisho wa kila kitu na unafutika katika uso wa dunia.
Ingekuwa hivyo, ingelikuwa rahisi kukumbuka yaliyokukuta usingiziniUkilala usingiz mzito akili yako inafanya Kaz mkuu
Aise...Dalili za kawaida kabla ya kifo:
1. Kupungua kwa hamu ya kula na kunywa
2. Kupungua kwa nguvu na nishati
3. Mabadiliko ya kupumua
4. Mabadiliko ya ngozi
5. Kupungua kwa mapigo ya moyo na shinikizo la damu(pressure)
6. Kuharibika kwa mzunguko wa damu
7. Kupungua kwa fahamu au kuchanganyikiwa
8. Kupoteza uwezo wa kudhibiti mkojo na kinyesi
9. Kuzama katika usingizi wa muda mrefu
10. Kupungua kwa maumivu
Dalili za Near-Death Experiences (NDEs):
1. Kuhisi kutoka nje ya mwili
2. Kupita kwenye handaki lenye mwangaza
3. Hisia ya amani na utulivu
4. Kukutana na watu waliokufa
5. Kuwa na mawasiliano ya kiroho
6. Mapitio ya maisha yao yote
7. Kuhisi kutokuwa na mwili
8. Uamuzi wa kurudi au kuendelea
9. Kusikia sauti za ajabu
Unakumbuka mkuuIngekuwa hivyo, ingelikuwa rahisi kukumbuka yaliyokukuta usingizini
Ukiona hizo dalili tubu mrudie muumba wakoAise...
Ukilaka akili haifanyi kazi ndiyo maana unaweza kuibiwa bila kujuaUkilala usingiz mzito akili yako inafanya Kaz mkuu
Swali tu, saa tisa na dakika 5 usiku, ilikutokea nini?Unakumbuka mkuu
Mkuu hata Kwa kifo Cha ajali dalili ni hizo hizo?Ukiona hizo dalili tubu mrudie muumba wako