Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #41
Nilikuwa macho mda huo mkuiSwali tu, saa tisa na dakika 5 usiku, ilikutokea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa macho mda huo mkuiSwali tu, saa tisa na dakika 5 usiku, ilikutokea nini?
Kwani tukishakufa kuna sehemu tunaenda tena?Scientifically hapana ila spiritual ndio watu wa dini wanasema hapo ndio mtu anaonyesha matendo yake yote na wapi ataenda kama ni sehemu nzuri au sehemu mbaya
Huwa wanakuwa na NDEs mara nyingi utakuta siku za mwisho mtu anaanza kufanya matendo mema, kupatana na watu as if anajua kabsMkuu hata Kwa kifo Cha ajali dalili ni hizo hizo?
Noma sana mkuuHuwa wanakuwa na NDEs mara nyingi utakuta siku za mwisho mtu anaanza kufanya matendo mema, kupatana na watu as if anajua kabs
Ushawahi kukaa na mtu kabla hajafa ukaonana dalili zakeNoma sana mkuu
Yeah, alianza kuwanywesha pombe marafiki zake, akalipa madeni, akawa mwenye furaha Kisha akatangulia mbele ya haki.Ushawahi kukaa na mtu kabla hajafa ukaonana dalili zake
Wakati huo utashi ni mdogo usingizi huo haukuwezeshi kutambua HALI ya wakati huo , ulipo , tujitambua muda WA wiki kwako ni kama dk MOJA. Hiyo ni Siri walio hai hawatakiwi kujadili namna na HALI ya waliokufa. Swali HIVI ukilala unaweza kujua exactly kujua ulilala saa ngapi? Mimi niliwahi kuzimia wananiambia takriban dk 45 kwenye ajali sikujua chochote Wala maumivu Kwa muda huo zaidi ya kushangaa nilipozinduka na kumuuliza dereva aliyekuwa ananipeleka hospitalini KUWA vp Kuna Nini? Akanianbia umepata ajali. Swali langu la kwanza nilijuuliza kimya kimya HIV nilitoka wapi? Kwa hiyo tusidanganyane kbs.Hizo dakika 7 ni za kutubu
Je Hii inatokea hata kwenye vifo vya ghafla kama ajali, kuuliwa ?Dalili za kawaida kabla ya kifo:
1. Kupungua kwa hamu ya kula na kunywa
2. Kupungua kwa nguvu na nishati
3. Mabadiliko ya kupumua
4. Mabadiliko ya ngozi
5. Kupungua kwa mapigo ya moyo na shinikizo la damu(pressure)
6. Kuharibika kwa mzunguko wa damu
7. Kupungua kwa fahamu au kuchanganyikiwa
8. Kupoteza uwezo wa kudhibiti mkojo na kinyesi
9. Kuzama katika usingizi wa muda mrefu
10. Kupungua kwa maumivu
Dalili za Near-Death Experiences (NDEs):
1. Kuhisi kutoka nje ya mwili
2. Kupita kwenye handaki lenye mwangaza
3. Hisia ya amani na utulivu
4. Kukutana na watu waliokufa
5. Kuwa na mawasiliano ya kiroho
6. Mapitio ya maisha yao yote
7. Kuhisi kutokuwa na mwili
8. Uamuzi wa kurudi au kuendelea
9. Kusikia sauti za ajabu
Aaah wapi!Scientifically proven,ukifa unajua kua umekufa
Kwa uthibitisho wa mnyama gani au mtoto gani mchanga aliweza kusema “marehemu huyu aliyekufa saa hizi anapokea adhabu kali na analia kwa uchungu” huku wengine hawasikii?uislam ulilijua hili kitambo sanaa.mtu akifa anasikia kila kitu na hata akiws anapiga kelele kwa adhabu.wanyama na watoto wachanga wanamsikia.ila ndo hivyo ameshakwenda
Ni fumbo gumu sana ambalo anaelijua ni mtu anekua kwenye mchakato huo wa kufa na MUUMBA pekee basi... Haya mambo mengine tunayoambiwa na watu hawa hawa walio hai bado sio majibu sahihi..KIFO NI FUMBO MKUU
Inatokana na imani yako kama ni abrahamic religion utaenda kuzimu kujiandaa kwenda aidha peponi au motoni, kama budha na hinduism utakuwa Reincarnated kwenye mwili mwingine au scientifically ndio mwisho wako huoKwani tukishakufa kuna sehemu tunaenda tena?
Nyingi ya sababu orodheshi hapo kwa mtu asiyejua lolote kuhusu afya hawezi kung’amua kama ndugu yake anaenda kung’ata shuka labda hiyo #7 ndiyo rahisi kwani kwa asilimia kubwa huwapata wale waliougua muda mrefu.Dalili za kawaida kabla ya kifo:
1. Kupungua kwa hamu ya kula na kunywa
2. Kupungua kwa nguvu na nishati
3. Mabadiliko ya kupumua
4. Mabadiliko ya ngozi
5. Kupungua kwa mapigo ya moyo na shinikizo la damu(pressure)
6. Kuharibika kwa mzunguko wa damu
7. Kupungua kwa fahamu au kuchanganyikiwa
8. Kupoteza uwezo wa kudhibiti mkojo na kinyesi
9. Kuzama katika usingizi wa muda mrefu
10. Kupungua kwa maumivu
Dalili za Near-Death Experiences (NDEs):
1. Kuhisi kutoka nje ya mwili
2. Kupita kwenye handaki lenye mwangaza
3. Hisia ya amani na utulivu
4. Kukutana na watu waliokufa
5. Kuwa na mawasiliano ya kiroho
6. Mapitio ya maisha yao yote
7. Kuhisi kutokuwa na mwili
8. Uamuzi wa kurudi au kuendelea
9. Kusikia sauti za ajabu
Kwanini aone aibu? Hii nimekua nikiisikia pia..Nyingi ya sababu orodheshi hapo kwa mtu asiyejua lolote kuhusu afya hawezi kung’amua kama ndugu yake anaenda kung’ata shuka labda hiyo #7 ndiyo rahisi kwani kwa asilimia kubwa huwapata wale waliougua muda mrefu.
Kuna nyingine wanasema mtarajiwa huwa anaona aibu kuangaliana usoni na ndugu au rafiki yake.
Ni kweli mkuu na huwa wanakuwa wapole pia kam ni mgonjwa hujihisi nafuuNyingi ya sababu orodheshi hapo kwa mtu asiyejua lolote kuhusu afya hawezi kung’amua kama ndugu yake anaenda kung’ata shuka labda hiyo #7 ndiyo rahisi kwani kwa asilimia kubwa huwapata wale waliougua muda mrefu.
Kuna nyingine wanasema mtarajiwa huwa anaona aibu kuangaliana usoni na ndugu au rafiki yake.
😂Madaktari wapo humuHii thread iko na facts shida ni how to prove
Ndio wanaonesha hiyo NDEs(Near Death Experiences) sana tuJe Hii inatokea hata kwenye vifo vya ghafla kama ajali, kuuliwa ?
DuhWakati huo utashi ni mdogo usingizi huo haukuwezeshi kutambua HALI ya wakati huo , ulipo , tujitambua muda WA wiki kwako ni kama dk MOJA. Hiyo ni Siri walio hai hawatakiwi kujadili namna na HALI ya waliokufa. Swali HIVI ukilala unaweza kujua exactly kujua ulilala saa ngapi? Mimi niliwahi kuzimia wananiambia takriban dk 45 kwenye ajali sikujua chochote Wala maumivu Kwa muda huo zaidi ya kushangaa nilipozinduka na kumuuliza dereva aliyekuwa ananipeleka hospitalini KUWA vp Kuna Nini? Akanianbia umepata ajali. Swali langu la kwanza nilijuuliza kimya kimya HIV nilitoka wapi? Kwa hiyo tusidanganyane kbs.