Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pale panaandaliwa makada na ndiyo maana hata Mwape aliingilia kuangalia ukarabati wa majengo. Wasomi hakuna pale na atakayepingana na ukada anatimuliwa
niliwahi kusema humu na nina rudia tena.. "chuo unachosoma sio ishu.... ishu ni akili kumkichwa...ziimoo.. kama wewe ni manafunzi fake ndio tatizo... tatizo sio chuo"...
mkuu naomba ni kwambie kitu hiki ninamtu ambaye anafanya kazi ofisi moja wapo kubwa ya serikali, ilifika wakati wanataka kuajiri watu waliosomea IT na computer science katika kufanya usahili wanafunzi wote waliosoma udsm walionekana hawapo compitent kabisa na hajira hawakupata. naona kama unakikandia sana chuo cha St Joseph lakini nakwambia after 5 years utakuja kuniambia juu ya ubora wa chou hiki.hiki ni bado chuo kichanga na kinakuja kwa kasi hata mbuyu ulianza kama mchicha.Sijui mmemuelewa mtoa mada? Anazungumzia st joseph na udom. Ngoja niwape siri, watanzania wengi hawaijui. St joseph hakuna chuo pale, nchi inaibiwa. Kama una ndugu yako anataka kwenda mwambie aache kabisa. Tatizo sisi tunathamini sana ngozi nyeupe, wale wahindi wote matapeli wana elimu za ku unga unga na hawana vigezo kabisa. Wanafunzi wamejaziwa syllabus, units 5 kwa semister na ratiba ngumu kila siku darasani for 8hrs tena kwa kuitwa majina utadhani primary! Mbaya zaidi mitihani lukuki jst to kip them busy wasiweze ku mobilize. Chuo hakina facilities, hata website tu ya chuo hakuna. Internet hakuna, ada juu 1.75m per yr, michango kibao nje ya ada pia usahishaji mbovu wa mitihani. Mwenye mwandiko mzuri na anae remba ndo anafaulu bila kujali utumbo alioandika, upendeleo kwa wasichana uliopita kiasi wakiandika namba ya mtihani tu washafaulu ! Jamaa ni mafia, wanatumia kigezo cha dini kuficha makucha, wanahonga bahasha nacte, usalama wa taifa, tcu, bodi na wizarani, wanatumia vyombo vya habari kujitangaza na mabango mtaani. Kuna kipindi waliweka bango posta likionesha chuo chao kina jengo zuri sana la ghorofa 4 wakati halikuwepo! Na bado, nchi italiwa mpaka basi !
Nakuunga mkuu tena kwa hili ongezeko la watu humu ndani du!! tunatakiwa tuwe makini maana tukisha geuka fcbk kwishney. huyu jamaa aliyeleta hi mada nahisi kama akili zae hazmtoshi kabisanatabiri siku za mbeleni JF kugeuka kuwa kama FECBOOK
kweli mkuu ndugu yangu anafanya ofisi ya mkaguzi mkuu wa mahasabu ya serikali wanasema waliwatimua kazi graduate wote wa udsmkitengo cha it walikuwa wanafanya madudu na kuuza sura. badala yake waliwajiri wanafunzi waliotoka DIT na st joseph wako compitent sana.i fail to understand watu wa udsm leo hii wanaponda chuo kama muhimbili??? Udsm mmebakia na coet peke yake,, faculty nyingine zote ni uozo, labda angalau na law kidoogo... Ila for sure, trust me guyz, nimemuajiri mtu wa st.joseph computer science ofisini kwangu juzi tu hapa afta firing a graduate from udsm ambaye alikua hajui kitu kabisaaaaa,,,, udsm hakuna kituu,, hakuna proffesionalism,,, udsm ilikua inabebwa na muhimbili na uclas, but after kutengana, udsm is very poor,, hakuna proffesionalism,, sua is much more better, st. Joseph is even much more further better
mkuu nakuunga mkono sana tuu.Jaman 2sidanganyane, cut off point ya st. Joseph kwa engineering ni 4.5 na Udsm kwa engineering ni 2.5. Ila st. Joseph wanautaratibu wa kupokea wa2 wenye 2.0, thn wanasoma coz maalum ya miez mi3, unapo faulu ndo unaingia main coz ya engineering. Ukiangalia kwa hzo cut off point utagundua kuwa st. Joseph wana pokea wanafunz wazur zaid kuliko Udsm. Hata ukihoji kwa wale wasema kwel wa'UDSM watakwambia kuwa nw pale elim imekuwa ya makaratas zaid na si vitendo kwa engineering! Midahalo mingi ya utafiti kati ya Udsm na DIT, DIT huwa wanawazidi Udsm. Nadhan mnafaham hata hizi taa za barabaran hapa jijin ni project ya DIT. Wahazir wa DIT wanashirikiana sana na wa st. Joseph, wanafunz wanafaham hlo kwan hata baadh ya workshop huwa wana'share. Kwa engineering bora, hapa tanzania vyuo ni DIT, st. Joseph na MIST. Kwani ha2on maendeleo ya technology kwa nchi ya INDIA? Vtabu vngap vya scienc kwa advanc level na university wahandish wahind!? Leo opareshen kubwa za mwil zinafanyika India. 2we 2nafanya tafit kabla ya kuleta mada kujadiliwa!
huyo MSENGYE, FYALLA, masikini wa akili anayesema kwamba udom ni vilaza! (no div 1)
kwa taarifa yake mimi binafsi nimepata DIV 1 advance... nimesomea KIBAHA SPECIAL SCHOOL PCM nilichaguliwa UDSM nikakataa !!! mimi nimefuata elimu bana sio chuo!
Hata hapo UDSM pindi chuo kinaanzishwa kulikuaje?????????????????
ACHENI PUMBA MNAOPONDA UDOM NA WATU WAKE.
huyo MSENGYE, FYALLA, masikini wa akili anayesema kwamba udom ni vilaza! (no div 1)
kwa taarifa yake mimi binafsi nimepata DIV 1 advance... nimesomea KIBAHA SPECIAL SCHOOL PCM nilichaguliwa UDSM nikakataa !!! mimi nimefuata elimu bana sio chuo!
Hata hapo UDSM pindi chuo kinaanzishwa kulikuaje?????????????????
ACHENI PUMBA MNAOPONDA UDOM NA WATU WAKE.
Jk, lowasa, chenge na mafisadi na viongozi wabovu kadhaa, hivi wamesomea chuo gani zaidi ya udsm!? Ubora wa chuo akili zako mwenyewe, na khs wanaosoma education kuwa na passmark mbovu, sio udom tu ni karibu vyuo vyote maana ni kimbilio la waliofell
we taira kweli waliokuwa wanakukimbiza hapo shule wako chuo gani? Usiwe kama kichaa na hasira zako za kuchagua udsm na kupigwa chini usizilete humu JF.Kwanza aliye kwambia kibaha ni special school ni nani? Kweli elimu yako uliyoipata udom haijakusaidia kabisa.Hao wa kibaha na shinyanga au moshi sec wanatofauti gani? Vyakula na walimu ni walewale na huduma nyingine ni zilezile so what the differences and what so special about your school?? Waliosoma Azania au benjamini wakapiga div 1.3 na kibaha mtu kapata div 2 who is special between these two? Hatuangalii kafaulu kupitia njia zipi ila kapata chuo anachokipenda na course anayoitaka ndio vya msingi.We utaumia sana kusoma chuo cha kata na kukutana na vilaza wenzio swali dogo la maths mpaka mkamuone ticha ndio linaenda?? Njoo udsm,mzumbe au ardhi uone vichwa wa maths walivyosheheni.
Mtajivunia kwa kipi udom?? Wahadhiri wenu wote wametoka kwenye vyuo vikongwe na wapo hapo kimaslahi sio kuja kuwapa taaluma na kuondoa ulaza wenu.YOU SHOULD BE AWARE WITH THIS.