Michael Owen alikua mchezaji bora wa dunia kwa kuchukua tuzo ya Ballon D'or ya mwaka 2001. Nadhani nikukumbushe mkuuWaingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.
2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.
Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........
Januzaj hajawahi kuwa Muingereza, hata jina hulioni mzee kuwa sio la kiingereza?Football is a game of statistics so far He's the best player according to statistics but it's to early to compare him with the likes of Christian Ronaldo luka modric Lampard or Gerrard but I think he's from ENGLAND that's why they overhype him as always accustomed to do they did it in Adnan januzaj dele ali Jesse lingard and rashford English media are rubbish sometimes when it comes to their players.
Wachambuzi wa hapa na pale hao.Unasema Jude hatoi Accurate passes?
Kwa taarifa yako jana alikuwa ana pass accuracy ya 92%.
Kapiga pass 48, kati ya hizo 44 zimefika.
Watu wanajua kucheza Madrid ni rahisi TU huyu dogo kaanza kuimbwa akiwa Dortmund infact mi nilianza kumuona kwenye world cup ya vijana Uiengereza wakibebaMchezaji wa kawaida hawezi kucheza Real Madrid
Figo Luis alitwaa mwaka gani??Achana na porojo za Waingereza, Chamberlain alikuwa na ubora upi? Average player hype kubwa kama Walcott tu.
Jack Wilshere atleast nilishawishika, Michael Owen kama sikosei mwaka 2001 alitwaa Ballon D’or
Lakini alishinda MVP Kula ujerumaniMwaka jana wakati akiwa BVB walimdhurumu tuzo yake ya mchezaji bora under 20 Europe akapewa GAVI mwaka huu dogo tuzo ya kwake
Ogopa sana media,zinaweza mkuza mtu na kumpotezeaJana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media
Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine
Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani
Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka
Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game
Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana
Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
Jamaa analeta ujuaji wa ajabu sana ,nilivyoona Chamberlain nikajua tu hajui mpira bali anafosi .Achana na porojo za Waingereza, Chamberlain alikuwa na ubora upi? Average player hype kubwa kama Walcott tu.
Jack Wilshere atleast nilishawishika, Michael Owen kama sikosei mwaka 2001 alitwaa Ballon D’or
Uingereza ndo unamponzaJUDE NI COMPLETE PACKAGE.
1. Anakaba.
2. Ana nguvu,Akiamua kukaba ama undava vyote anaweza
3. Anafunga magoli. Mpaka sasa nadhani ana goli zaidi ya 13
4. Ana kimo kizuri kinachomraahisishia kucheza mipira ya juu
5. Anaweza kucheza eneo lote la kiungo 6,8,10.
6. Ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu kutoka juu chini ama pia kati kati ya kiwanja..
7. Ana speed na mwendo mzuri
TATIZO KUBWA LA HUYU JAMAA NI MUINGEREZA.
Alicheza Manchester United wakampaisha na walitaka kumbadilisha kutoka Belgium kuwa muingereza ila ikashindikana ila point yangu ilikuwa ku overhype wachezaji wanaocheza team zao pendwa au wazawa kwa mfano son wa Tottenham ana takwimu nzuri msimu huu ila kwasababu sio muingereza wala hachezi team zenye interest zao basi wanampotezea and that is my point of view.Januzaj hajawahi kuwa Muingereza, hata jina hulioni mzee kuwa sio la kiingereza?
Ambayo sio dhambi, Pumba hujitenga na Mchele.Alicheza Manchester United wakampaisha na walitaka kumbadilisha kutoka Belgium kuwa muingereza ila ikashindikana ila point yangu ilikuwa ku overhype wachezaji wanaocheza team zao pendwa au wazawa kwa mfano son wa Tottenham ana takwimu nzuri msimu huu ila kwasababu sio muingereza wala hachezi team zenye interest zao basi wanampotezea and that is my point of view.
Jamaa analeta ujuaji wa ajabu sana ,nilivyoona Chamberlain nikajua tu hajui mpira bali anafosi .
yani kiingereza chote hiki kumbe ulikuwa na lengo la kutudanganya kuwa ADNAN JANUZAJ NI MUINGEREZA.Football is a game of statistics so far He's the best player according to statistics but it's to early to compare him with the likes of Christian Ronaldo luka modric Lampard or Gerrard but I think he's from ENGLAND that's why they overhype him as always accustomed to do they did it in Adnan januzaj dele ali Jesse lingard and rashford English media are rubbish sometimes when it comes to their players.
Achana na porojo za Waingereza, Chamberlain alikuwa na ubora upi? Average player hype kubwa kama Walcott tu.
Jack Wilshere atleast nilishawishika, Michael Owen kama sikosei mwaka 2001 alitwaa Ballon D’or
Get your facts right before commentyani kiingereza chote hiki kumbe ulikuwa na lengo la kutudanganya kuwa ADNAN JANUZAJ NI MUINGEREZA.
Mchezaji mzuri ameprove hilo Ujerumani. Na bado timu kubwa zote unazozijua zilikuwa zinamgombania. Wengine wanasema yuko overated na Waingereza ajabu anacheza Hispania na sio Uingereza. Na tusidegemee Karne hii kuona ufundi mwingi, Mpira wa sasa ni magoli.Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media
Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine
Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani
Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka
Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game
Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana
Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
Wewe kweli nati zimecheza kichwani .Mchezaji Amecheza Arsenal na Liverpool unasema hajui mpira????
(Na ana UEFA CL)
WATU WA MPILA WALITEGEMEA ALEX AATAKUWA MCHEZAJI MKUBWA SANA.
Sema we mshamba unapenda sana kunifuatilia.
Mbona wewe unauejua huchangii kitu zaidi ya umbea na majungu!!!!
(Mfuga majijijini we?????!!!!!!