Ubora wa Jude Bellingham ni upi?


Baada ya kujibu hoja umeishia kumshambulia Mtoa hoja.


Tena umethubutu kukubali kuongozwa na kipofu mwenzio.

MUNGU AKUSAMEHE KWA UPUMBAVU MA MATUSI YAKO.

Mjue sana Mungu ili uwe na amani ndivyo mema yatakavyokujia.
Ayoub 22:21.
 
Kwanza dogo bado mdogo sana
Pili Amefanya maajabu alikopita hadi kutua Madrid
Tatu namba hazidanganyi
Mwisho uchezaji wa enzi za akina Zizu hauna nafasi kwenye soka la sasa ambalo namba zinaongea
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie . Watatumbukia shimoni au kupotea.....

Utapotea kuongozwa na hilo Famba jenzio.

Jini wewe
 
Kama umemuangalia kwa mechi ya jana tuu sawa

Ila tunaomjua tangu yupo BVB tunaujua ubora wake
 
Baada ya kujibu hoja umeishia kumshambulia Mtoa hoja.


Tena umethubutu kukubali kuongozwa na kipofu mwenzio.

MUNGU AKUSAMEHE KWA UPUMBAVU MA MATUSI YAKO.

Mjue sana Mungu ili uwe na amani ndivyo mema yatakavyokujia.
Ayoub 22:21.
Jinsi ulivyokuwa Juha nati zimecheza umesahau ulichosema juu kwenye aya ya kwanza na kuanza person attack kwa mtu mwingine na Mimi pia.

Kumbuka wewe umeanza person attack ulivyoniQuote mara ya kwanza ,halafu baada ya kujibiwa ukaanza kulalamika kisha unarudi katika uJuha wako na kuandika haya chini.

Soma upumbavu wako hapo ,sidhani kama kichwa kilichoandika haya kinaweza kuongoza hata familia.
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie . Watatumbukia shimoni au kupotea.....

Utapotea kuongozwa na hilo Famba jenzio.

Jini wewe
Ningekuwa mimi peke yangu ningeonekana nina matatizo ,cheki hata Teko Modise humu alivyochambua upuuzi wako .

Jamaa unajikuta mjuaji sana halafu kichwa chako ni mche duara uliowazi pande zote, ninauhakika kabisa wewe Dishi Limeyumba .

Twende kwenye hoja tuweke statics za Alex , tokea aanze kucheza na msimu wake aliokuwa katika peak .
 

Tuzo ya dunia ulitaka watwae mbele ya nan?
Steve Gerrard na lampard wote hawa wameshawahi kuwa top 3 ya wachezaji bora zaidi duniani.

Michael owen huyu kashachukua kabisa tuzo ya mchezaji bora wa dunia akiwa na miaka 22 tu na majeruhi yalimrudisha nyuma.

Chamberlain, Walcott na wilshere hata isingekuwa majeruhi wasingeweza kupata tuzo yoyote ile ya maana.
 

ENDELEA KUFUGA MAJINI

Majini yanakufanya unakuwa chizi bila hata kujijua.
 
Huyu jamaa aangalie tu na kuchambua mechi za akina Lucas Kikoti

Usipende kujaribu watu.......

1.Jiridhishe kwenye huu uzi nani ameandika hoja za maaana.

3 Nani ameweza kumchambua Jude kwa hoja nyingi

3. Nani ameongoza kwa kuwekwewa like kwenye hoja zake.

Watu zaisi ya 16 wameweka likes
Usinifananishe na wapumbavu

NAKUHESHIMU NAOMBA UJIHESHIMU.
WENGINE SIO WATOTO KAMA MNAOCHEZA NAO.
 
Adriz.

Nikushauri wewe endelea kufuga majini.
Kuna jamaa amenifuat PM anankambia una majini laki nane 800000.

Haya mambo ya mpira tuachie watu wa mpira, wewe na mpira wapi na wapi???

Wewe endelea na kufuga majini yako na mapepo na mashetani .

ETI UMEFIKISHA MAJINI MANGAPI MBAKA SASA??????
 
Michael Owen: 2001 - FIFA World player
2001: Mchezaji wa Ulaya
 
Ubora wake upo kwenye kufunga magoli, ni kama Haaland
We unataka awe na ubora gani
 
Una zeeka vibaya wewe babu
 
Sasa ulitaka potential ipi zaidi na kaipa timu ushindi Kwa kupachika bao mbili,,Tena bao mbili kwenye eliklasiko tena ugenini!!Acha roho mbaya Dogoo!!
 
Unaweza ukawekewa likes nyingi kwa pumba kama za GENTAMYCINE

Wewe ni kilaza wahed, haya hizo likes 16 kachukue hela kwa wakala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…