Ubora wa Jude Bellingham ni upi?

Ubora wa Jude Bellingham ni upi?

Wewe kweli nati zimecheza kichwani .

Chamberlain kafanya maajabu gani mpaka angie katika kutumainiwa kuchukua tuzo ya mchezaji bora ?

Aya yako ya kwanza inathibitisha wazi kuwa wewe ni kiazi mbatata kilichooza , ina maana mchezaji akicheza Arsenal na Liverpool Automatically anakuwa mchezaji wa kutumainiwa ? Chamakh kacheza Arsenal ,Frimpong nk lakini wamefanya nini ?

Wapi nimesema alikuwa hajui mpira Chamberlain ? soma kwa makini wewe Kiazi ndio maana GENTAMYCINE anakudharau hoja yangu ni wewe kujumlisha katika kundi la wanaotumaniwa kuchukua hiyo tuzo kitu ambacho hajafikia uwezo wa Kupewa hata hizo TETESI .

Nakusubiri nianze kukujibu kwa Statistics ,maana kichwa chalo kinahitaji msasa utokee uharo kichwani mwako..

Baada ya kujibu hoja umeishia kumshambulia Mtoa hoja.


Tena umethubutu kukubali kuongozwa na kipofu mwenzio.

MUNGU AKUSAMEHE KWA UPUMBAVU MA MATUSI YAKO.

Mjue sana Mungu ili uwe na amani ndivyo mema yatakavyokujia.
Ayoub 22:21.
 
Kwanza dogo bado mdogo sana
Pili Amefanya maajabu alikopita hadi kutua Madrid
Tatu namba hazidanganyi
Mwisho uchezaji wa enzi za akina Zizu hauna nafasi kwenye soka la sasa ambalo namba zinaongea
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie . Watatumbukia shimoni au kupotea.....

Utapotea kuongozwa na hilo Famba jenzio.

Jini wewe
 
Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media

Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine

Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani


Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka

Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game

Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana

Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
Kama umemuangalia kwa mechi ya jana tuu sawa

Ila tunaomjua tangu yupo BVB tunaujua ubora wake
 
Baada ya kujibu hoja umeishia kumshambulia Mtoa hoja.


Tena umethubutu kukubali kuongozwa na kipofu mwenzio.

MUNGU AKUSAMEHE KWA UPUMBAVU MA MATUSI YAKO.

Mjue sana Mungu ili uwe na amani ndivyo mema yatakavyokujia.
Ayoub 22:21.
Jinsi ulivyokuwa Juha nati zimecheza umesahau ulichosema juu kwenye aya ya kwanza na kuanza person attack kwa mtu mwingine na Mimi pia.

Kumbuka wewe umeanza person attack ulivyoniQuote mara ya kwanza ,halafu baada ya kujibiwa ukaanza kulalamika kisha unarudi katika uJuha wako na kuandika haya chini.

Soma upumbavu wako hapo ,sidhani kama kichwa kilichoandika haya kinaweza kuongoza hata familia.
IMG_20231029_221128.jpg
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie . Watatumbukia shimoni au kupotea.....

Utapotea kuongozwa na hilo Famba jenzio.

Jini wewe
Ningekuwa mimi peke yangu ningeonekana nina matatizo ,cheki hata Teko Modise humu alivyochambua upuuzi wako .

Jamaa unajikuta mjuaji sana halafu kichwa chako ni mche duara uliowazi pande zote, ninauhakika kabisa wewe Dishi Limeyumba .

Twende kwenye hoja tuweke statics za Alex , tokea aanze kucheza na msimu wake aliokuwa katika peak .
 
Waingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.


2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.

Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........

Tuzo ya dunia ulitaka watwae mbele ya nan?
Steve Gerrard na lampard wote hawa wameshawahi kuwa top 3 ya wachezaji bora zaidi duniani.

Michael owen huyu kashachukua kabisa tuzo ya mchezaji bora wa dunia akiwa na miaka 22 tu na majeruhi yalimrudisha nyuma.

Chamberlain, Walcott na wilshere hata isingekuwa majeruhi wasingeweza kupata tuzo yoyote ile ya maana.
 
Ningekuwa mimi peke yangu ningeonekana nina matatizo ,cheki hata Teko Modise humu alivyochambua upuuzi wako .

Jamaa unajikuta mjuaji sana halafu kichwa chako ni mche duara uliowazi pande zote, ninauhakika kabisa wewe Dishi Limeyumba .

Twende kwenye hoja tuweke statics za Alex , tokea aanze kucheza na msimu wake aliokuwa katika peak .

ENDELEA KUFUGA MAJINI

Majini yanakufanya unakuwa chizi bila hata kujijua.
 
Huyu jamaa aangalie tu na kuchambua mechi za akina Lucas Kikoti

Usipende kujaribu watu.......

1.Jiridhishe kwenye huu uzi nani ameandika hoja za maaana.

3 Nani ameweza kumchambua Jude kwa hoja nyingi

3. Nani ameongoza kwa kuwekwewa like kwenye hoja zake.

Watu zaisi ya 16 wameweka likes
Usinifananishe na wapumbavu

NAKUHESHIMU NAOMBA UJIHESHIMU.
WENGINE SIO WATOTO KAMA MNAOCHEZA NAO.
 
Adriz.

Nikushauri wewe endelea kufuga majini.
Kuna jamaa amenifuat PM anankambia una majini laki nane 800000.

Haya mambo ya mpira tuachie watu wa mpira, wewe na mpira wapi na wapi???

Wewe endelea na kufuga majini yako na mapepo na mashetani .

ETI UMEFIKISHA MAJINI MANGAPI MBAKA SASA??????
 
Waingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.


2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.

Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........
Michael Owen: 2001 - FIFA World player
2001: Mchezaji wa Ulaya
 
Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media

Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine

Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani


Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka

Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game

Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana

Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
Ubora wake upo kwenye kufunga magoli, ni kama Haaland
We unataka awe na ubora gani
 
Usipende kujaribu watu.......

1.Jiridhishe kwenye huu uzi nani ameandika hoja za maaana.

3 Nani ameweza kumchambua Jude kwa hoja nyingi

3. Nani ameongoza kwa kuwekwewa like kwenye hoja zake.

Watu zaisi ya 16 wameweka likes
Usinifananishe na wapumbavu

NAKUHESHIMU NAOMBA UJIHESHIMU.
WENGINE SIO WATOTO KAMA MNAOCHEZA NAO.
Una zeeka vibaya wewe babu
 
Sasa ulitaka potential ipi zaidi na kaipa timu ushindi Kwa kupachika bao mbili,,Tena bao mbili kwenye eliklasiko tena ugenini!!Acha roho mbaya Dogoo!!
 
Usipende kujaribu watu.......

1.Jiridhishe kwenye huu uzi nani ameandika hoja za maaana.

3 Nani ameweza kumchambua Jude kwa hoja nyingi

3. Nani ameongoza kwa kuwekwewa like kwenye hoja zake.

Watu zaisi ya 16 wameweka likes
Usinifananishe na wapumbavu

NAKUHESHIMU NAOMBA UJIHESHIMU.
WENGINE SIO WATOTO KAMA MNAOCHEZA NAO.
Unaweza ukawekewa likes nyingi kwa pumba kama za GENTAMYCINE

Wewe ni kilaza wahed, haya hizo likes 16 kachukue hela kwa wakala
 
Back
Top Bottom