Heshima yako Mkuu.... Uko vyema.
Daahhh...Nikusaidieje,zali la mentali,Asali wa moyo,nipe tano,hili game,agosti 13,Mwanza mwanza,hawatuwezi,mtoto iddi,nahitaji wife,aka Mimi...........
Biti Kali sana kwenye hyo ngoma alaf load IzzyDaahhh...
Maninaa hilo ngoma hawatuwezi lina biti flani hivii kalii....
Hiyo DJ ya Sisiter P niliikubali sana enzi hizo1. Kama unataka demu - j mo
2. Nyumbani nyumbani - TMK
3. Simu yangu - solo
4. Gado rmx - zay b
5. Dj - sister p
6. Msela - ngwea na nature
7. Usinichukie - afande sele
8. Jinsi tulivyo - Manyema family
9. Maskini jeuri - temba na mwenzie
10. Nampenda yeye - temba
11. Handsome - dully sykes
12. Ulibisha hodi - watu poli
13. Hawatuwezi - Nako 2 Nako
14. Agost 13 - Fid q
15. Piga makofi - Prof j
16. Tumbo joto - kali p
17. Ya leo kali - wachuja nafaka
18. Si uliniambia - mb dog
19. Latifa - Mb dog
20. Tatu bila
21. Jirushe - ferouz
22. Nicheki - o ten
23. Wanapendana - fa
24. Cheza kidogo - ngwea na jmo
25. Kijana mteja - ferouz
26. Alikufa kwa ngoma - fa
List ni ndefu kwa kweli ila tuishie hapa
hivi huyo Bodea alipoteaga wapi nakumbuka ngoma yake moja hivi mbona hunitaki hunitaki kwenye dance flo unacheza na washkaji40. Niamini - hbc
41. Hardcore - bodea na pro j
42. Nyaluland - Mike t
hivi huyo Bodea alipoteaga wapi nakumbuka ngoma yake moja hivi mbona hunitaki hunitaki kwenye dance flo unacheza na washkaji
Yaah sauti ya jide ileYupo na jay dee humo
40. Niamini - hbc
41. Hardcore - bodea na pro j
42. Nyaluland - Mike t
43. Kama - mike t
44. Nakupenda - Mike t
45. Bijou - Dully
46. Bishoo - jay Mo
47. Nisikize - ngwea, fa na jay d.
48. Ndani ya club - p funk, saigon, nature.
49. Chagua moja - fid q
50. Nipo bize - jafarai
51. Uspime - black rhino
52. Wife - daz baba ft ngweah
53. Sitibadilika rmx - mike t ft dully
54. Famous - jay mo
55. Jina langu - prof j
56. Chemsha bongo - prof j
jamaa alikua anapewa blowjob kwenye gari ?Mkuu salama
Tafuta nyimbo inaitwa "INANIUMA SANA" ya Juma nature a.k.a kiroboto.
Sikiliza ile mistari...
Kibongo bongo blowjob unaendesha gari nikutafuta majanga tu.
Hiyo DJ ya Sisiter P niliikubali sana enzi hizo
Kama una MP3 yake itupie mkuu
Ntakutumia zoteeAisee noma sana
Natafuta nyimbo za Renee lamira ya "fitina" na "ngoma ya kwetu"
Kwa iyo una maanisha nini kwamba p funk hakuwa profucer ama labda hakuwa mkali au alikuwa hajui kabisa muziki?She got a gwan imeundwa studio ya Bongo records.. Ila waliyoisuka ile Beat ni Soggy Doggy, Bizman na Mzungu kichaa. Majani hajagusa kitu
hiyo SINA DEM ya B-BOY imefanywa na MIKA MWAMBA KALI, sio MAJANI.Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!
Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.
Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!
Enjoy!
Nitashukuru mkuu ,P-Funk ,beat zilitulia sana ,unafeel nini maana ya mziki mkiwa Dance FlowJipooze na hii mkuu,next nitakuwekea mpini wako,kwa mbali Majani akichagiza "anha" huku kick zenye ujazo na snares zikifunda!!
Nachomaanisha waliyoitengeneza ile nyimbo hakuwa yeye, ingawa sifa nyingi zimeenda kwake... Beat la ile nyimbo ya Ngwear SHE GOT A GWAN ni kombinesheni ys soggy Doggy, Mzungu Kichaa na Bizman.Kwa iyo una maanisha nini kwamba p funk hakuwa profucer ama labda hakuwa mkali au alikuwa hajui kabisa muziki?
Hauna hojaMikasi ni kazi ya Professa Ludigo si Majani