Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

1. Kama unataka demu - j mo
2. Nyumbani nyumbani - TMK
3. Simu yangu - solo
4. Gado rmx - zay b
5. Dj - sister p
6. Msela - ngwea na nature
7. Usinichukie - afande sele
8. Jinsi tulivyo - Manyema family
9. Maskini jeuri - temba na mwenzie
10. Nampenda yeye - temba
11. Handsome - dully sykes
12. Ulibisha hodi - watu poli
13. Hawatuwezi - Nako 2 Nako
14. Agost 13 - Fid q
15. Piga makofi - Prof j
16. Tumbo joto - kali p
17. Ya leo kali - wachuja nafaka
18. Si uliniambia - mb dog
19. Latifa - Mb dog
20. Tatu bila
21. Jirushe - ferouz
22. Nicheki - o ten
23. Wanapendana - fa
24. Cheza kidogo - ngwea na jmo
25. Kijana mteja - ferouz
26. Alikufa kwa ngoma - fa

List ni ndefu kwa kweli ila tuishie hapa
Hiyo DJ ya Sisiter P niliikubali sana enzi hizo
Kama una MP3 yake itupie mkuu
 
40. Niamini - hbc
41. Hardcore - bodea na pro j
42. Nyaluland - Mike t
43. Kama - mike t
44. Nakupenda - Mike t
45. Bijou - Dully
46. Bishoo - jay Mo
47. Nisikize - ngwea, fa na jay d.
48. Ndani ya club - p funk, saigon, nature.
49. Chagua moja - fid q
50. Nipo bize - jafarai
51. Uspime - black rhino
52. Wife - daz baba ft ngweah
53. Sitibadilika rmx - mike t ft dully
54. Famous - jay mo
55. Jina langu - prof j
56. Chemsha bongo - prof j
 

Attachments

P funk majani song Please forgive me, dedicate to Kajala pia ni Bonge la ngoma.

Sijui kwanini Majani katubania ili Song!!? Beat vocal kila kitu Majani ali smoke Majani ki kweli kweli full mahisia.

Yooh Majani kinywele kimoja release hii ngoma bro tubaki na ladha ya sauti kama ilivyo kwenye Beat Ma men Majaaaaah Majani.
 
Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!
Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
hiyo SINA DEM ya B-BOY imefanywa na MIKA MWAMBA KALI, sio MAJANI.
 
Kwa iyo una maanisha nini kwamba p funk hakuwa profucer ama labda hakuwa mkali au alikuwa hajui kabisa muziki?
Nachomaanisha waliyoitengeneza ile nyimbo hakuwa yeye, ingawa sifa nyingi zimeenda kwake... Beat la ile nyimbo ya Ngwear SHE GOT A GWAN ni kombinesheni ys soggy Doggy, Mzungu Kichaa na Bizman.

Ni producer mzuri ila kazi nyingi hakufanya yeye, jina la studio ndiyo lilibeba kila kitu
 
Back
Top Bottom