MKuu kuna ngoma nimeitafuta hapa lakini nimeikosa, nini mnataka mazee ya Pig black. Kama unayo naomba uitupie hapa, shukrani!Same to you Brother
Enjoy!
MKuu kuna ngoma nimeitafuta hapa lakini nimeikosa, nini mnataka mazee ya Pig black. Kama unayo naomba uitupie hapa, shukrani!
Poa mkuu ngoja niperuzi tenaMkuu salama
Ngoma ipo hapa, anzia mwanzo utaipata.!
zacha pandisha Homa ya dunia- Solo thang- produced by P-Funky
Kwa mtazamo wangu huu ndio wimbo bora daima wa Hip Hop,kwa message iliyomo,floor ya kunata na beat,instruments arrangement . ni wimbo ambao ukiusikiliza maneno yake ni kama mpya umetoka studio.
Bahati mbaya sana Solo alimezwa na album ya Juma Nature- Ugali na ya Prof Jay
Kwa mtazamo wangu huu ndio wimbo bora daima wa Hip Hop,kwa message iliyomo,floor ya kunata na beat,instruments arrangement . ni wimbo ambao ukiusikiliza maneno yake ni kama mpya umetoka studio.
Asee acheni masihara hao producers wengine ni kweli walikuwa na mchango wao ila si kweli kwamba wao ndo walimsimamisha P funky,yule jamaa alikuwa na uwezo Wa ajabuHahahaha, bora umeongea ,naijua Bongo records toka masaki ,mj toka enzi za Mario linje ,don bosco na maskani, enzi majani uko IST
Ila majani nadhani bado hajatangaza rasmi kuacha uproducer imekuaje siku hizi yupo kimya?Asee acheni masihara hao producers wengine ni kweli walikuwa na mchango wao ila si kweli kwamba wao ndo walimsimamisha P funky,yule jamaa alikuwa na uwezo Wa ajabu
Mimi naamini jamaa ametumia nguvu na ajuzi Wa ke kwa muda mrefu so ni kama ameishiwa aidia hivi. Ila alivyokuwa kwenye peak sidhani kama kuna mtayarishaji atakuja kufika kiwango cha huyo jamaa. Kwanza alikuwa anapenda mziki akiegemea zaidi ktk vipaji vya kweli. Alikuwa anatengeneza mziki kwa mizukaIla majani nadhani bado hajatangaza rasmi kuacha uproducer imekuaje siku hizi yupo kimya?
Ila pia nadhani miaka ile producers walikua wachache sana na yeye ndio alitengeneza ngoma nyingi, hakuwa na watu wengi wa kucompete nae ila kwa zama hizi producers wako wengi na wenye uwezo pia.
Mkuu umepiga penyewe.
zacha pandisha Homa ya dunia- Solo thang- produced by P-Funky
Kwa mtazamo wangu huu ndio wimbo bora daima wa Hip Hop,kwa message iliyomo,floor ya kunata na beat,instruments arrangement . ni wimbo ambao ukiusikiliza maneno yake ni kama mpya umetoka studio.
Bahati mbaya sana Solo alimezwa na album ya Juma Nature- Ugali na ya Prof Jay
Majani Bila hivyo vichwa alikuwa si MTU ndio maana baada ya kusepa majani aliteremka ....
Ila huwa nashangaa hivyo vichwa huwa havitajwi... Kama ngomq ya She Gotta Gwan ya ngwair hakuichonga majani ni hivyo vichwa ila saluti zinaenda kwa majani..
Ngoma ya Akwelina pia
Mkuu umepiga penyewe.
Kwangu mimi huu ndio wimbo bora zaidi wa hip hop hapa bongo.
Ile msg mpaka kesho bado itasimama.
Tatizo ni kwamba wabongo wengi huwa hatupendi nyimbo za aina hii,huwa tunapenda nyimbo nyepesi zenye utani utani ndani yake.
Na ndio maana album ya homa ya dunia ya Solo ilimezwa na ile ya Nature kama ulivyosema hapo juu kwa sababu Nature alikuwa akiimba vitu vya masihara sijui ndio rap katuni!.
Ila album ya HOMA YA DUNIA ilishiba song zenye ujumbe na burudani kama vile homa ya dunia yenyewe,sukari ina pilipili,msako wa haki,mambo ya pwani,vina utata n.k.
Daaaaaah...
Machozi yanatoka ishara homa ya dunia
Binadamu wanyama ndege wote mbona mnalia
Parapanda italia,mito milima mabonde vyote vitaangamia
Madaktari waganga ujuzi washautumia
Wamemzunguuka mgonjwa homa ya dunia
Waumini wamemsalia
Na bado mikononi akawafia...
Mimi naamini jamaa ametumia nguvu na ajuzi Wa ke kwa muda mrefu so ni kama ameishiwa aidia hivi. Ila alivyokuwa kwenye peak sidhani kama kuna mtayarishaji atakuja kufika kiwango cha huyo jamaa. Kwanza alikuwa anapenda mziki akiegemea zaidi ktk vipaji vya kweli. Alikuwa anatengeneza mziki kwa mizuka
Mkuu umepiga penyewe.
Kwangu mimi huu ndio wimbo bora zaidi wa hip hop hapa bongo.
Ile msg mpaka kesho bado itasimama.
Tatizo ni kwamba wabongo wengi huwa hatupendi nyimbo za aina hii,huwa tunapenda nyimbo nyepesi zenye utani utani ndani yake.
Na ndio maana album ya homa ya dunia ya Solo ilimezwa na ile ya Nature kama ulivyosema hapo juu kwa sababu Nature alikuwa akiimba vitu vya masihara sijui ndio rap katuni!.
Ila album ya HOMA YA DUNIA ilishiba song zenye ujumbe na burudani kama vile homa ya dunia yenyewe,sukari ina pilipili,msako wa haki,mambo ya pwani,vina utata n.k.
Daaaaaah...
Machozi yanatoka ishara homa ya dunia
Binadamu wanyama ndege wote mbona mnalia
Parapanda italia,mito milima mabonde vyote vitaangamia
Madaktari waganga ujuzi washautumia
Wamemzunguuka mgonjwa homa ya dunia
Waumini wamemsalia
Na bado mikononi akawafia...