Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga


Ushauri mzuri kabisa huu
 
Afunguke hapa tu, nitamuelewa. Inbox wanaingia na wajinga.
Nipo Mimi nafunguka

Elimu yangu darasa la 7

Kazi mjasiliamali natembeza mitumba

Umri 35

Lugha Swahili, French, English, Rwanda,

Urefu 5.8"

Rangi mweusi

Makazi Pwani

Chakula ndizi samaki

Michezo mpira, karate,judo

Dini mkristo


Nisichopenda mwanamke mvaa wigi na nguo za kuonyesha maungo yake, ulevi na uzinzi napenda mwanamke ajiheshimu
 
Naomba unitumie namba yako ya simu au email tafadhali ili nikupatie ushauri Wa dhati na ambao MTU mwingine hawezi kuusoma.
 
Elimu Masters, Kazi international org. Mshahara wa kawaida maisha nayajua vzr sana labda ushindwe wewe. Karibu inbox
 
Kwani mabisi wenzako hawakuoni... ukizingatia mbona utakuwa bosi mdogo sana.. yaani hauna muda mrefu kwenye hicho cheo.. na pengine unakaimu tu. Angakia makosa yako yako wapi.. jirekebishe alafu uone.
 
Elimu Masters, Kazi international org. Mshahara wa kawaida maisha nayajua vzr sana labda ushindwe wewe. Karibu inbox
Sifa unazo za kutosha ashindwe mwenyewe ila ungesema mshahara kwa mwezi unapata kiasi gan?
 
Sexless,

KUOLEWA NA CHEO HAVINA UHUSIANO NA KUTOOLEWA, ILA TABIA INAYOENDANA NA MAJIVUNO YA CHEO NA UWEZO NI SUMU KUBWA KWA MAHUSIANO, UKIWA MNYNYEKEVU HATA KAMA WEWE NI TRUMP UTAPENDWA, YOU LIVE WITH YOUR PROBLEM IN YOUR HEART AND PERSONALITY AND SIO CHEO!
 
Avatar is not my true life jamani. Nilipenda kuweka baada ya sera za JPM. Kabla ya hapo nilikuwa na avatar ya ugly man mwenye mapengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…