Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Bado ya mavi ya mbuzi inakuja.Sie huku Shamba unapanda juu ya mti unaangua unampa wife anaandaa ukinywa kidogo lazima utafute choo kilipo.
hii nayo ni hivyo hivyo mzee kama hauko sawa lazima ikutetemeshe.
 
Bado ya mavi ya mbuzi inakuja.Sie huku Shamba unapanda juu ya mti unaangua unampa wife anaandaa ukinywa kidogo lazima utafute choo kilipo.
Hahaha duh we jamaa,tena kama upo shamba na choo hakuna lazima uchukue jembe na kuelekea vichakani.
 
Wanywa K-Vant tunapita kimya kimya kwenye hii thread. Sasa mlevi mie, na brand za juice wapi na wapi!
🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
 
Hebu tuachane na Mo..
Je wewe kwa mwaka huu unaisha umefanya nini cha maana?
Mo kuiga biashara imekupa hasara gani? Au asipoiga biashara utapungukiwa nini?

Yaani ww ni mtu Wa ajabu sana, eti hujaona ubunifu wa Mo wakat pamoja na kutoona ubunifu anaweza kuwalea ukoo wenu wote mkala na kulala bure na kuwalipa mshahara million 1 kila mtu kwa mwezi na msifanye kazi yoyote..

Dili na maisha yako dogo acha umbea Wa kipwani
 
Sijawahi kunywa hata moja yanj juice zimenipita kushoto kabisaaa......
 
Swahiba hako kanafaa sana ukiwa umeamka na mning'inio kichwani halafu upate ka baridiiiiii
 
Huyu jamaa anacopy sana,hana bidhaa hata moja ambaye ameibuni
 
Wiki ijayo tunatoa soda ya pilipili hoho
Usijali mteja wetu
 
Hata hivyo wamepunguza volume asee,saiv hata 5 unapiga stim bado
MAJUZI KATI SAFARI BEER WALIBADILISHA VILE VICHATA WAKARUDISHA VIPYA NA KUVIWEKEA KARANGI FULANI LEOHII ZINAONGOZWA KUISHA FASTA

HII NDIO TANZANIA BHANA UKIULIZA WANAKWAMBIA LADHA YA SASAHIVI KIBOKO KUMBE KANEMBO TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…