Uchaguzi 2020 Ubunge jimbo la Mpwapwa 2020-25 twende na JUNE FUSSI tu

Uchaguzi 2020 Ubunge jimbo la Mpwapwa 2020-25 twende na JUNE FUSSI tu

Tutamchagua Ngoi Edward Limu ambaye ni mtu mwenye Kariba ya kuongoza umma wa watanzania wote hivyo tunaanza na kumpa Jimbo la Mpwapwa. Huyo Pusi sijui Ufuzi sijui Fusi akajipange huko vichakani
 
Ngoi limu ni nani Kaka? Maana mtoa mada kamsema June Fussi anafahamika, mtoro Nyange anafahamika. Ngoi ni yupi au yule jamaa alikuwaga msanii anaimbaimba
Tutamchagua Ngoi Edward Limu ambaye ni mtu mwenye Kariba ya kuongoza umma wa watanzania wote hivyo tunaanza na kumpa Jimbo la Mpwapwa. Huyo Pusi sijui Ufuzi sijui Fusi akajipange huko vichakani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo June Fussi Ngowi alishawahi kugombea ubunge jimbo la Njombe Magharibi Mara mbili akapigwa chini angetulia tu sasa awaachie vijana maana umri ushaenda atengeneze vijana watakaoleta mabadiliko kuliko wazee kuwa na uchu wa madaraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Joka Kuu, trends za the political dynamics ya siasa zetu kuelekea 2020, zinaelekeza CCM ndio mpango mzima.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums

Pia the IQ index na the poverty level ya jimbo la Mpwapwa ni watu wanaishi katika lindi la umasikini uliotopea, hivyo mkoa mzima wa Dodoma full of Matonyas hawawezi chagua upinzani.
Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake? - JamiiForums
P

..tumejenga imani potofu kwamba ccm ndiyo chama pekee chenye hoja na mbinu za kushawishi masikini na wale wasio na elimu kubwa.

..vyama mbadala vijiandae kwa hoja zenye ushawishi na mvuto wapiga kura masikini walioko vijijini na hata mijini.

..Vyama vya upinzani havijawahi kuwa na mkakati maalum wa kuongeza idadi ya uwakilishi wao BUNGENI. Mara nyingi wagombea wa ubunge wamekuwa wakifanya kampeni kivyao-vyao bila kupata msaada wa kutosha toka ktk vyama vyao.

Cc Mag3,. Nguruvi3, Kalamu1
 
..tumejenga imani potofu kwamba ccm ndiyo chama pekee chenye hoja na mbinu za kushawishi masikini na wale wasio na elimu kubwa.

..vyama mbadala vijiandae kwa hoja zenye ushawishi na mvuto wapiga kura masikini walioko vijijini na hata mijini.

..Vyama vya upinzani havijawahi kuwa na mkakati maalum wa kuongeza idadi ya uwakilishi wao BUNGENI. Mara nyingi wagombea wa ubunge wamekuwa wakifanya kampeni kivyao-vyao bila kupata msaada wa kutosha toka ktk vyama vyao.

Cc Mag3,. Nguruvi3, Kalamu1
Mkuu Joka Kuu, hili neno

P
 
Ngoi limu ni nani Kaka? Maana mtoa mada kamsema June Fussi anafahamika, mtoro Nyange anafahamika. Ngoi ni yupi au yule jamaa alikuwaga msanii anaimbaimba

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo jamaa fulani hivi miaka ya nyuma alikuwa PATUU na kina Dr. Ishengoma ametembea sana maeneo mbalimbali ya wilaya ya mpwapwa na ni mtu msikivu Sana. Anajihusisha na shida za watu na kurahisisha utatuzi wa changamoto nyingi sana
 
Kwanini tusimjaribu Mtoro Darabu Nyange? Kijana mchapakazai na anaijua pia mifumo ya kiserikali kwani naye ni mtumishi wa umma akiwa katika sekta ya elimu. Hatutapoteza
Mimi pia na kijana wangu wakuitwa 'Ngoyi limu'. Tume tia nia toka mwakajana sasa tupo jimboni tunapiga misele tu
 
Mkuu Joka Kuu, hili neno

P

..ukiwachunguza wanasiasa wa upinzani kama Freeman Mbowe, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika, Halima Mdee, Silinde, Said Kubenea, Esther Bulaya, John Heche, Esther Matiko, Joseph Mbilinyi, Susan Kiwango, etc etc

..wote ni raw talent, wako kivyao-vyao, jeshi la mtu mmoja-mmoja, hawako coordinated na hawana msaada wa wataalamu nyuma yao.

..sasa hawa wanapambanishwa na serikali na ccm ambao wana utitiri wa wataalamu na watumishi wa serikali wanaowasaidia kwa kuwafanyia research na kuwaandalia majibu na taarifa.

..pamoja na CCM na serikali kuwa na RESOURCES nyingi ukilinganisha na wenzao UPINZANI bado ukisikiliza HOJA zinavyochangiwa BUNGENI unaona serikali na ccm wanazidiwa.

..kwa hiyo kuna TATIZO la vyama vya upinzani kutokujua namna ya kuvitumia VIPAJI walivyonavyo.

..Pia kuna umuhimu wa wapinzani kuwaandaa wagombea wao kwa kuwapa mafunzo ya namna bora zaidi ya kufanya kampeni zenye ushawishi kwa wapiga kura wa vijijini.

..Ni kweli kuna FIGISU nyingi wapinzani wanafanyiwa wakati wa uchaguzi. Lakini mimi naamini wangeweza kupata wabunge angalau 20 zaidi ya hawa walionao sasa hivi kama wangewekeza [ kimafunzo, kimikakati] zaidi ktk wagombea wao.
 
Kuna majimbo mengine hata ufanye nini hakuna kipya. Ni laana tu abinitio
 
Back
Top Bottom