Uchaguzi 2020 Ubunge jimbo la Mpwapwa 2020-25 twende na JUNE FUSSI tu

Uchaguzi 2020 Ubunge jimbo la Mpwapwa 2020-25 twende na JUNE FUSSI tu

Nampata vizuri, nmefanya nae muziki miaka ya 2000. Yupo chama gan
Yupo jamaa fulani hivi miaka ya nyuma alikuwa PATUU na kina Dr. Ishengoma ametembea sana maeneo mbalimbali ya wilaya ya mpwapwa na ni mtu msikivu Sana. Anajihusisha na shida za watu na kurahisisha utatuzi wa changamoto nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.

Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.

Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.

June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.

Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.

Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Ujue unamharibia
 
Huyo June Fussi Ngowi alishawahi kugombea ubunge jimbo la Njombe Magharibi Mara mbili akapigwa chini angetulia tu sasa awaachie vijana maana umri ushaenda atengeneze vijana watakaoleta mabadiliko kuliko wazee kuwa na uchu wa madaraka

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kugombea jimbo moja na kwenda jimbo lingine sioni kama ni tatizo.

Nakumbuka Mrema amewahi kua mbunge wa Temeke na Vunjo
Waitara ndio huyo anatoka Ukonga anaenda Mara

Nadhani hoja ya msingi ni je huyo Fusi nayo elimu, uzoefu na umakini wakuweza kusaidia watu wa Mpwapwa. Majimbo ya Dodoma vijijini yana challenge tofauti na yanahitaji watu wenye uzoefu mkubwa, umakini, weledi na uzoefu wa kudeal na serikali

Kama huyu mama mnasema ana Masterz na amekua ofisa mwandamizi serikalini kwa miaka mingi nadhani atawasaidia zaidi wana mpwawa kuliko huyu kikongwe Lubeleje au huyu bwana mdogo Mtoro Nyange. Huyu Mtoro Nyange yuko hapo Kigamboni ni bwana mdogo sana. hana uzoefu, umakini na weledi

Kueni makini msifanye mihemko kwenye mambo ya serious. Kumuondoa kikongwe na kumleta mtoto nisawa na kutia maji kwenye gunia

Mpeni huyo mama atawavusha kwakua sifa zake ni kama zile za Ndugai na Simbachewene. Mtazamo wangu
 
Tutamchagua Ngoi Edward Limu ambaye ni mtu mwenye Kariba ya kuongoza umma wa watanzania wote hivyo tunaanza na kumpa Jimbo la Mpwapwa. Huyo Pusi sijui Ufuzi sijui Fusi akajipange huko vichakani

Mtakosea sana kuchagua vijana wadogo wakuja kujifunzia siasa jimboni kwenu. Hilo jimbo sio kichwa cha mwenda wazimu cha vijana wadogo na watoto kuja kujifunzia kazi

again kuweni makini acheni mihemko na ushabiki kwenye mambo serious

Chagueni mtu mwenye uzoefu sawa na Simbachawene au Ndugai. Huyo mama atawafaa zaidi kuliko hao watoto au huyo kikongwe Lubeleje
 
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.

Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.

Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.

June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.

Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.

Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.


Niliwahi kufanya kazi mpwapwa miaka 4 sasa niko Dodoma mjini

Kuna changamoto nyingine naona umezisahau. Mpwapwa kuna kituo cha afya kimoja tu kinachohuduimia kata 15 wakati upande wa pili kwa bwana Simbachawene kuna vituo vya afya 3 (hii ni walaya moja)

Bado kwa kiasi kikubwa hawana maji safi na salama

Kuna maeneno makubwa bado hayana umeme

Kuna changamoto za elimu - Yapo matatizo makubwa ya watoto wa kike kupewa mimba na kushindwa kuendelea na elimu (mpwapwa inaongoza kwa dodoma

Makusanyo ya kodi ya kodi mpwapwa bado yako chini sana linganisha na majimbo mengine

Wilaya ya Kongwa ni mtoto wa Mpwapwa lakini wao wana barabara, Vituo vingi vya Afya, Maji safi na salama, na wana rank nzuri kielimu

Wilaya ya mpwapwa ni kongwe sana lakini maendeleo yake ni duni na kwasababu kila wakati wa uchaguzi wilaya hiyo hukosa umakini wa kuchagua au hukosa wagombea bora

Kama kweli huyo mama anazo sifa hizo ulizo zitaja nadhani huu ni wakati sahihi kwa mpwapwa kufanya mabadiliko makubwa na kubadili mwelekeo

Chagueni mwanamke kwa mara ya kwanza katika historia ya mpwapwa
Chagueni mwanamke kama kondoa
Chagueni huyo mama msomi mwenye uzoefu serikalini aende akapambane na wenzake serikalni kuwaletea mabadiliko

Badilisheni upepo mpwapwa fanyeni mabadiliko
Mjipange vizuri

Kila la Khery
 
Poleni pambaneni na halizenu ila wewe Ngeanakilala mnaa sana si ajabu ndiyo huyo mama kikongwe
 
Bora umesema kijana anafaa. Hao wazee tushawapa sana nafas na wamezichezea. Tupo na hazina ya kutosha ya vijana. Wazee inatosha Sasa. Kwangu Mimi Mtoro Darabu Nyange anafaa. Pia wapo vijana wengine makini Kama Justin Maganga na Gabriel Hango. Wazee kwa sasa Big No

Sent using Jamii Forums mobile app

Msichague vijana kwenye majimbo makongwe kama mpwapwa yenye changamoto nyingi sana

si mnaona wenzenu wa Kongwa (Ndugai) na Kibakwe (Simbachawene) wanavyo faidi kwasababu wamechagua watu wenye uzoefu serikalini. Sasa hao vijana wote mnaowataja ni amateurs. Tafuteni msomi makini, mwenye uzoefu serikalini na elimu kubwa. Anaweza kupata hata unaibu waziri akawakomboa.

Msiwape amatures jimbo wajifunzie kazi mtaendelea kupiga mark time na kulia lia
 
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.

Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.

Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.

June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.

Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.

Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Kaa kimya kwa muda maana kampeni bado labda kama unataka kumharibia
 
Nakuunga mkono mkuu, kwa maeneo ya Dodoma mtu hata akiwa mzuri vip Kama hatagombea kwa tiketi ya CCM hawezi kuchaguliwa wala asipoteze muda. Muone Benson kigaila mzawa kule kibakwe. Vijana wa pale kibakwe Kati wanamkubali sana ila watu wazima na wote wa pembezoni ni CCM pure ndio maana kigaila kapashindwa.

Mwaka 2015 akajaribu Dodoma Mjini lakini hali ni ile ile. kigaila alitumia nguvu nyingi sana na kiukweli anajua kuongea na ana sumu za hatari sana na bado alishindwa.Kimsingi ukanda wa Dodoma uchaguzi huishia kwenye kura za maoni ndani ya CCM, ukishapita hapo hata ukilala usifanye kampeni bado utashinda tu.

Kuna Kuna kiongozi mzuri ana ndoto za ubunge mkoa wa Dodoma lazima aangalie vyema usafiri utakaomfikisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo mengi ya watu wa maisha ya chini ni wapiga kura wa chama tawala hata uwaeleze vipi hawakuelewi, ila uchaguzi ukipita wanaanza kelele maji, njaa, michango mingi Mara kodi tunatozwa sana, utasikia Polisi wanatuonea
 
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.

Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.

Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.

June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.

Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.

Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Sijafurahishwa na post yako:
1. Official campaigns hazijaruhusiwa.
2.watumishi wa umma hawaruhusiwi.
3.kama hujatumwa kumuangamiza shangazi yangu futa post hii
 
Niliwahi kufanya kazi mpwapwa miaka 4 Wilaya ya Kongwa ni mtoto wa Mpwapwa lakini wao wana barabara, Vituo vingi vya Afya, Maji safi na salama, na wana rank nzuri kielimu
Badilisheni upepo mpwapwa fanyeni mabadiliko
Mjipange vizuri
Kila la Khery
Duh, kumbe sasa Kongwa mambo safi?. Angalau uspka unalipa, ila pia kwa maendeleo ya jimbo la Kongwa, JF nayo, imesaidia saidia, mabandiko kama Haya yamesaidia katika amsha amsha

Kwa Wale Mliowahi Kufika Kongwa, ni Jimbo Choka Mbaya Kiasi Kwamba Mbunge Wake Hafai Kwa Lolote!. - JamiiForums

P
 
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.

Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.

Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.

June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.

Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.

Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
JUNE FUSSI nadhani ni busara ukagombee kwenu Songea ambako shida walizonazo wananchi wako huko utakuwa unazijua vizuri zaidi kuliko huko ugenini. Ni ushauri tu.
 
JUNE FUSSI nadhani ni busara ukagombee kwenu Songea ambako shida walizonazo wananchi wako huko utakuwa unazijua vizuri zaidi kuliko huko ugenini. Ni ushauri tu.
Aliyekudanganya kuwa kwao ni songea ni nani?., kwake ni mpwapwa. Period
 
Bora umesema kijana anafaa. Hao wazee tushawapa sana nafas na wamezichezea. Tupo na hazina ya kutosha ya vijana. Wazee inatosha Sasa. Kwangu Mimi Mtoro Darabu Nyange anafaa. Pia wapo vijana wengine makini Kama Justin Maganga na Gabriel Hango. Wazee kwa sasa Big No

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao vijana ni lini wameonyesha nia?
 
Back
Top Bottom