Yupo jamaa fulani hivi miaka ya nyuma alikuwa PATUU na kina Dr. Ishengoma ametembea sana maeneo mbalimbali ya wilaya ya mpwapwa na ni mtu msikivu Sana. Anajihusisha na shida za watu na kurahisisha utatuzi wa changamoto nyingi sana
Ujue unamharibiaJimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.
Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.
Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.
June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.
Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.
Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Huyo June Fussi Ngowi alishawahi kugombea ubunge jimbo la Njombe Magharibi Mara mbili akapigwa chini angetulia tu sasa awaachie vijana maana umri ushaenda atengeneze vijana watakaoleta mabadiliko kuliko wazee kuwa na uchu wa madaraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutamchagua Ngoi Edward Limu ambaye ni mtu mwenye Kariba ya kuongoza umma wa watanzania wote hivyo tunaanza na kumpa Jimbo la Mpwapwa. Huyo Pusi sijui Ufuzi sijui Fusi akajipange huko vichakani
Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.
Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.
Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.
June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.
Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.
Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Bora umesema kijana anafaa. Hao wazee tushawapa sana nafas na wamezichezea. Tupo na hazina ya kutosha ya vijana. Wazee inatosha Sasa. Kwangu Mimi Mtoro Darabu Nyange anafaa. Pia wapo vijana wengine makini Kama Justin Maganga na Gabriel Hango. Wazee kwa sasa Big No
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa kimya kwa muda maana kampeni bado labda kama unataka kumharibiaJimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.
Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.
Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.
June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.
Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.
Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Maeneo mengi ya watu wa maisha ya chini ni wapiga kura wa chama tawala hata uwaeleze vipi hawakuelewi, ila uchaguzi ukipita wanaanza kelele maji, njaa, michango mingi Mara kodi tunatozwa sana, utasikia Polisi wanatuoneaNakuunga mkono mkuu, kwa maeneo ya Dodoma mtu hata akiwa mzuri vip Kama hatagombea kwa tiketi ya CCM hawezi kuchaguliwa wala asipoteze muda. Muone Benson kigaila mzawa kule kibakwe. Vijana wa pale kibakwe Kati wanamkubali sana ila watu wazima na wote wa pembezoni ni CCM pure ndio maana kigaila kapashindwa.
Mwaka 2015 akajaribu Dodoma Mjini lakini hali ni ile ile. kigaila alitumia nguvu nyingi sana na kiukweli anajua kuongea na ana sumu za hatari sana na bado alishindwa.Kimsingi ukanda wa Dodoma uchaguzi huishia kwenye kura za maoni ndani ya CCM, ukishapita hapo hata ukilala usifanye kampeni bado utashinda tu.
Kuna Kuna kiongozi mzuri ana ndoto za ubunge mkoa wa Dodoma lazima aangalie vyema usafiri utakaomfikisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama Cha wagogo mkuuNampata vizuri, nmefanya nae muziki miaka ya 2000. Yupo chama gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijafurahishwa na post yako:Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.
Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.
Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.
June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.
Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.
Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Duh, kumbe sasa Kongwa mambo safi?. Angalau uspka unalipa, ila pia kwa maendeleo ya jimbo la Kongwa, JF nayo, imesaidia saidia, mabandiko kama Haya yamesaidia katika amsha amshaNiliwahi kufanya kazi mpwapwa miaka 4 Wilaya ya Kongwa ni mtoto wa Mpwapwa lakini wao wana barabara, Vituo vingi vya Afya, Maji safi na salama, na wana rank nzuri kielimu
Badilisheni upepo mpwapwa fanyeni mabadiliko
Mjipange vizuri
Kila la Khery
JUNE FUSSI nadhani ni busara ukagombee kwenu Songea ambako shida walizonazo wananchi wako huko utakuwa unazijua vizuri zaidi kuliko huko ugenini. Ni ushauri tu.Jimbo la uchaguzi la Mpwapwa tunatia aibu, Tangu lianzishwe tulibahatisha kupata mbunge mmoja tu Ali Mtaki, baada ya hapo tunapiga washout tu mala zote, mbaya kuliko zote ni kumweka siku nyingi mbunge wa sasa Lubeleje.
Mbunge huyu Lubeleje hajui kabasa job description za mbunge yeye hufikiri ubunge ni kuuliza maswali tu na kurudi jimboni kuanza kununulia watu ujugu.
Sasa tunatalajia kupata mbunge ambaye anaweza kuwapiku wabunge wote waliopita huyu Mama June Fussi sasa tunaona anafaa kuwa mbunge wetu kwa kipindi hiki cha sasa ambacho mapambano bungeni ni makali sana.
June Fussi ana uwezo wa kuwa msumbufu kwa makatibu wakuu wa wizara ambao ndio wenye mafungu hasa kipindi hiki baada ya mnvua njingi madaraja mengi yamekatika kwa hiyo mtifuano wa kutaka yajengwe bunge lijalo utakuwa ni mkubwa sana, June Fussi ana uwezo wa kuhimili mpambano huo hatuna shaka naye kabisa.
Juni Fussi ni mfanyakazi mwandamizi serikali ana uzoefu wote wa kujua serikali inafanyaje kazi pia ni mkazi wa Mpwapwa eneo la Mwanakianga kwa hiyo matatizo ya Mpwapwa anayajua vilivyo ni mpamabanaji mzoefu kwani katika ajira serikalini kaanzia kama Afisa UGANI ngazi ya kata hadi kuwa mwandamizi katika wizara ya Mifugo na Uvuzi masuala ya utafiti mwenye elimu ya Masters Degree, hakika wana jimbo la Mpwapwa tukimchagua June Fussi tutakuwa tumelemba dume.
Safari hii tusifanye makosa ya kuchagua wanaume tena tuchague mwanamke ambae atakomaa na matatizo yetu.
Aliyekudanganya kuwa kwao ni songea ni nani?., kwake ni mpwapwa. PeriodJUNE FUSSI nadhani ni busara ukagombee kwenu Songea ambako shida walizonazo wananchi wako huko utakuwa unazijua vizuri zaidi kuliko huko ugenini. Ni ushauri tu.
MimiKwa ndugai yupo nani?
Sent using iphone pro max
Hao vijana ni lini wameonyesha nia?Bora umesema kijana anafaa. Hao wazee tushawapa sana nafas na wamezichezea. Tupo na hazina ya kutosha ya vijana. Wazee inatosha Sasa. Kwangu Mimi Mtoro Darabu Nyange anafaa. Pia wapo vijana wengine makini Kama Justin Maganga na Gabriel Hango. Wazee kwa sasa Big No
Sent using Jamii Forums mobile app