Zitto yuko kwenye level zingine.. Kasema anapenda kuwa Rais.. Kwa hiyo sidhani kama 2020 atagombea ubunge.. Nadhani atagombea urais.
Acha wivu.Kwa kweli haipendezi kutujazia watu wa ajabu ajabu bungeni kama Diamond platinums, kama issue ni wasanii wawe wabunge kuja watu wenye busara na Elimu ipo Kama wakina Mwana FA na AY
Yaani Diamond kujenga Madrasa na MSU kitu kigoma eti aongwe Ubunge hapana kwa kweli
Watoto wake katelekeza South Africa huko wanalelewa na wanaume wenzie ndio hasishindwe kutelekeza kigoma ?
Mbona Sugu ameweza?...Sitak kuamini Ripoti ya CAG, Bajeti ya nchi inaenda kujjadiliwa na watu Kama diamond, harmonize ,sijui shilole nk..
Yani Kama ni cha kike tumeingia wanangu...
Acha dharau mkuu katika waliotajwa hapo kuna wa kumlinganisha na Mr 2?Mbona Sugu ameweza?
Usifananishe Kazi za mziki wa sugu na hao wavaa vikuku mguuni na shanga kiunoniMbona Sugu ameweza?
Wote waliotajwa hapo wanalingana na huyo Mr. 2 wako. Hamna tofauti kabisaa.Acha dharau mkuu katika waliotajwa hapo kuna wa kumlinganisha na Mr 2?
Sent using OPPO Mobile Phone
Kigoma kuna funza kibao acha kutetea uongo.Kusumbuliwa na funza kijijini kwenu basi unahisi kila sehemu kuna funza!!!
Kwa taarifa yako huko vichakani unakoishi huwezi kupafananisha na kigoma (mjini)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshafanisha sasa kajinyonge kama hutaki. Ova.Usifananishe Kazi za mziki wa sugu na hao wavaa vikuku mguuni na shanga kiunoni
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Sugu ameweza?
Kuishi Marekani sio sawa na kuelimika....( aliishi Marekani kwa muda mrefu sana )...
Wewe ni tatizo umekaa kishabiki shabiki na sio uhalisia.Wote waliotajwa hapo wanalingana na huyo Mr. 2 wako. Hamna tofauti kabisaa.
Hata wewe una ushabiki uliopitiliza; hadi huoni kitu.Wewe ni tatizo umekaa kishabiki shabiki na sio uhalisia.
Sent using OPPO Mobile Phone
Kituko[emoji23][emoji23][emoji23]Hata wewe una ushabiki uliopitiliza; hadi huoni kitu.
Duh.Kituko[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using OPPO Mobile Phone
Sio kweli fatilia kisa cha Mariga pale Kenya .Ndo uone waafrica akili zetu na perception zetu zinafanana.Sasa Diamond eti Rais and believe me hapa Tanzania inawezekana kabisa.Tena Mond akitaka kugombea ubunge Kigoma anashinda asubuhi kabisa.
Samahani kama nimekukosea lakini.[emoji124][emoji124]Duh.
Kivipi?Samahani kama nimekukosea lakini.[emoji124][emoji124]
Sent using OPPO Mobile Phone
Mkuu kawadanganye watoto wadogo! Hivi kweli wananchi wengi kwenye kituo cha kupigia kura wawe wanamtaka mgombea wa CDM wangeacha kufanyafujo kama kungekuwa na uonevu wa kiasi hicho??
Endelea kuwa shabikia Hao tk tkNimeshafanisha sasa kajinyonge kama hutaki. Ova.
Hata sijui unaongea nini. Ova.Endelea kuwa shabikia Hao tk tk
Ndomana wanaimba upuzz"inama nchomeke"
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app