Uchaguzi 2020 Ubunge Kigoma Mjini, Zitto Kabwe vs Diamond Platnumz

Uchaguzi 2020 Ubunge Kigoma Mjini, Zitto Kabwe vs Diamond Platnumz

Hamkosi kulalamika! Watz wamewachoka kubalini tu!

Ile siku niliona mabox ya kura yakitolewa vituoni mbele ya macho ya polisi ili kwenda kujaza kura za ccm, hapo nilijua kweli wananchi wametuchoka. Wakati wa uchaguzi wa marudio, kituo kimoja niliona kwa macho yangu polisi wakiwapiga wasimamizi wa uchaguzi wa cdm ili wasaini karatasi fake za matokeo ili kumtangaza mgombea wa ccm. Kwa macho yangu nimeona msimamizi wa kituo fulani akifunga ofisi na kukimbia ili asipokee fomu za mgombea wa cdm ili mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Huo ni ushahidi kuwa wananchi wametukataa na wanawakubali sana ccm.

Katika vitu ambavyo mtapambana mpaka mwisho wa maisha yenu ni kuifanya ccm ipendwe tena. Hilo hata mkatambikie uchi mto msimbazi hamtokaa mfanikiwe. Sana sana kinachoweza kuwafanya muendelee kukaa madarakani ni vyombo vya dola, kuteka, kupiga risasi na kuwambambikizia kesi wanaokubalika. Kama unakubalika huwezi kunajisi box la kura, wala kutumia nguvu zako zote kugomea tume huru ya uchaguzi.
 
"Wanadai Zitto kawatelekeza ,kahamishia harakati zake twitter na ndani ya jiji la Dar badala ya kuhudumia wanakigoma" Hapa kuna chai hapa.

Sent using OPPO Mobile Phone
 
Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma zaidi kuliko Zitto?

Hahahaha nani akaliwe funza?
Nimekaa Kigoma wiki tu jana nimetolewa funza mkubwa kweli[emoji23][emoji23]

Sent using OPPO Mobile Phone
 
Kama Chadema walivyoletewa Mwenyekiti.

Kamtoe. Uchaguzi cdm ulifanyika na tuliona ulifanyika kwa amani wala hatukuona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujaza kura za huyo Mbowe. Mimi sio muumini wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm maana muda wake umepita, ila alishinda kwa kura zisizotia shaka.
 
tindo,
Mkuu kawadanganye watoto wadogo! Hivi kweli wananchi wengi kwenye kituo cha kupigia kura wawe wanamtaka mgombea wa CDM wangeacha kufanyafujo kama kungekuwa na uonevu wa kiasi hicho??
 
Kamtoe. Uchaguzi cdm ulifanyika na tuliona ulifanyika kwa amani wala hatukuona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujaza kura za huyo Mbowe. Mimi sio muumini wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm maana muda wake umepita, ila alishinda kwa kura zisizotia shaka.
Nilitegemea jibu kama hilo!
 
JokaKuu,
Comeon brother, Sugu na Prof J hawakuwa na majina serious!? Labda hapo kwenye fedha of which hata hivyo hatuwezi kujudge, kivile maana hatukuwa na uhakika.
Ninavojua Sugu na J wametoa ngima wakiwa wabunge labda huna kumbukumbu. Lakini pia hatujui labda Diamond naye akipata huo ubunge hatatoa ngoma Tena, so don't preampt him. Lakini wapi atafanya vizuri na wapi ataboronga hilo tinapaswa kumwachia yeye apime!
 
Ivi bungeni inaruhusiwa kwa mwanaume kusuka,kuweka dredi kichwani ama kuweka kipini sikioni,tuanzie hapo kwanza
 
Wakata viuno ndio wawe decision maker🤣🤣
Wenye akili zao waliishia
1577987588299.jpeg
 
Back
Top Bottom