Yes you are so stupid!Africans we are so stupid
Who cursed us... Should be blamed forever
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes you are so stupid!Africans we are so stupid
Who cursed us... Should be blamed forever
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka kwamba Kingwendu alitaka kuwa mbunge Kisarawe, yaani yale macho yake na uso vingehamia ndani ya ukumbi wa bunge.Hilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Nilisikia unafunga vidonda vya wazee wa kizungu hapo UK ni kweli dada?Mimi ni mpika chai
Usidharau watu mkuu, Profesa Jay yupo mjengoni tangu 2015.Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Ndo uone waafrica akili zetu na perception zetu zinafanana.Sasa Diamond eti Rais and believe me hapa Tanzania inawezekana kabisa.Tena Mond akitaka kugombea ubunge Kigoma anashinda asubuhi kabisa.
Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Hapana hizo ni kazi za walioingia darasani mimi sikupata bahati hiyo.Nilisikia unafunga vidonda vya wazee wa kizungu hapo UK ni kweli dada?
Kumbe! si unajua tena hapa JF tunasikia mengi mengine ya kweli mengine ya uongo!Hapana hizo ni kazi za walifungua darasani mimi sikupata bahati hiyo.
Huu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
habari za kusadikika hizoo coz diamond anaingiza hela nyingi kwenye muziki kuliko hao wanasiasa wenu pia kama umaarufu kwenye mziki waulize wanigeria
Hiyo tathmini yako ni dhaifu
Tatizo lenu ni mabingwa wa kudai demokrasia na uhuru wa kujieleza,lakin mnakuwa nanodngwa watu wakifungamana na ccm
Ni vigumu sana watu wote tukapenda chadema
Bunge la sasa lina wabunge wawili wanamuziki. Ubora wa utendaji wao bungeni na kwenye majimbo yao umedhihirika na kuna uwezekano wa kurejea bungeni 2020. Kwa hiyo Diamond hataakuwa mbunge wa kwanza na waliomtangulia wameitendea haki tasnia ya sanaa ya muziki.Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Sugu amekuwa akiimbaa miziki yenye ujumbeBunge la sasa lina wabunge wawili wanamuziki. Ubora wa utendaji wao bungeni na kwenye majimbo yao umedhihirika na kuna uwezekano wa kurejea bungeni. Kwa hiyo Diamond hatakywa wa kwanza na waliomtangulia wameitendea haki tasnia ya sanaa ya muziki.
Mnaumwa nyinyi si bure..kwa nini siyo kinondoni anakoishi, mmeona watu wa Igunga ni hamnazo hadi shilole ndio awe mbunge, ccm au ataanzisha chama chake?
Kwa akili za watanzania,Diamond hata akigombea Urais anashinda.Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Hamkosi kulalamika! Watz wamewachoka kubalini tu!Sio atashinda, bali atatangazwa mshindi kwa amri ya rais, sasa kama malalamiko ni kuwa Zitto kahamia Dar na kushinda twitter, je Diamondi ndio atakaa huko Kigoma? Je kuna msanii hatumii mitandao ya kijamii? Au kwakuwa lengo la bunge lijalo ni kumuongezea jiwe muda wa kukaa madarakani, hivyo anapanga mitume wake?
Mnaumwa nyinyi si bure..kwa nini siyo kinondoni anakoishi, mmeona watu wa Igunga ni hamnazo hadi shilole ndio awe mbunge, ccm au ataanzisha chama chake?