binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Msichokijua ni kwamba Diamond hawezi kukubali kugombea against ZZK, kama ambavyo hakufanya kampeni mikumi kwa prof J.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafurahia a Sana mkuu, ulipaswa kuprotest wakati Prof J anatia nia, wakati Sugu a.k.a Moto chini anatia nia. Ha ha ha ha kwakuwa Hawa wqlipitia upinzani it was okey kwako. And it could still the same Kama Harmonise na Diamond wangetia nia kupitia upinzani, naamini hili povu lako lisingetoka. Tatzo ni kwa vile hawa wanataka kupitia upande ambao huupendi. Kama ni hivyo demockraksia kwako maana yake nini.Tofauti ya Sugu na Diamond ni ipi!? Acha Demockraksia ichukue mkondo wake, let the voters decide si ndo hicho mnalilia kila siku, Uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa. Ha ha ha ha ha Madicteta wa jamii forum mnafuhisha sana. Kwenu Demokrasia ni kukubaliana na misimamo yenu, anaueenda tofauti ni msaliti na hana akiri, nyie ndo mna akiri nyie mna Demokrasia, ha ha ha ha ha. You are so amazing baddy! Huko hifadhini sijui mnaishije na mnaelewanaje!?
Vipi Prof. J na Sugu nao wameporomoka au?Diamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini
umemsahau wema sepetu . haishangazi kama yule mjinga wa ulanga ndio mashine yaoHilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Zitto yuko kwenye level zingine.. Kasema anapenda kuwa Rais.. Kwa hiyo sidhani kama 2020 atagombea ubunge.. Nadhani atagombea urais.
Diamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini
Sijawahi sikia au kuona mtu akipigwa MdahaloHivi wewe unamuonaje huyo Muha mwenzio? Hivi akipigwa mdahalo na baba yenu Jiwe hatuwezi kumuona Jiwe akidondoka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tumekusikia!Zitto kabwe hawezi shindwa ubunge Kigoma,labda sio hii Kigoma yetu, Zitto ndio mgombea ambae akigombea jimbo lolote la Kigoma anashinda.
Kwahiyo muziki ni deal
Kwa akili za watanzania,Diamond hata akigombea Urais anashinda.Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Ccm kimetoka kuwa chama cha siasa nakuwa zoa zoa maana hakuna hata haja ya kupiga kura kuwachagua wabunge wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tathmini yako ni dhaifuDiamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini
Kingwendu aliuza jimbo 2015 hana maana kabisa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji848]Hilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
You are the only curse in AfricaAfricans we are so stupid
Who cursed us... Should be blamed forever
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wanatofauti gani na wewe Nesi?Ndiyo tunawategemea kutunga sheria
Mimi ni mpika chaiKwani wanatofauti gani na wewe Nesi?