Tuulize wana Kgm. Kwa sasa zitto hana mvuto tena kwa wanakigoma. Hali iliyomtokea Kgm kaskazini hadi aka switch na serukamba ndio iliyopo mjini kwa sasa. Ujio wa Diamond Kigoma hata baba levo atamkimbia zitto.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Mimi nimezaliwa Kigoma mjini , hospital ya mkoa maweni ....
Watu pekee wanaojielewa kigoma ni kutoka ujiji Basi ... Maeneo mengine yote Ni watu hawajielewi Kama wewe. Ni kichaa pekee ndio anaweza kutokutambua juhudi za zitto kabwe kwenye mkoa wa kigoma...
Ni zitto ndio alipigania suala la uraia kwa wakazi wa kigoma , hapo awali watu wa kigoma walikuwa hawaishi kubambikiziwa kesi za uraia ... Zitto ndio kafanikisha barabara zote za kuunga mkoa wa kigoma , kuanzia barabara ya tabora na Daraja la kikwete ambae alikuwa swahiba wake... Ni zitto ndio alimshawishi ramadhani dau kupeleka mradi wa nssf kigoma ...
Ni chini ya zitto kabwe imepatikana barabara ya kigoma mpaka Burundi kupitia bitale.. hapo awali ilikuwa ni vumbi tupu.
Sitaki kuzungumzia maendeleo ambayo maendeleo ambayo ameyaleta Jimbo la kigoma mjini kipindi Cha miaka yake mitano ... Tangu kupata Uhuru Barabara ya airport ilikuwa haina lami .. Kwasasa ipo....
Bypass way ya kuanzia pale gungu kupitia nyuma ya masanga iko Safi tangu Uhuru. Hapa sijazungumzia barabara za ndani ya Jimbo ... Almost ujiji yote imejaa lami ... Haya mambo yote kuanzia 2010 kurudi nyuma kigoma mjini ilikuwa Kama pori.
Zitto ana mapungufu yake sikatai ila ni moja ya viongozi Bora kabisa tangu nchi hii kupata Uhuru , Nasikitika amekuwa Kiongozi kwenye nchi na raia baadhi wasioeleweka na hawana elimu ya uraia.
Leo ukienda majimbo yote hapo mkoa wa kigoma Hakuna Jimbo hata moja ambalo limepiga hatua Kama Jimbo la zitto kabwe Licha ya hayo majimbo kuwa chini ya ccm.. tembelea kakonko, uvinza, kibondo, na majimbo yote ya kasulu ni aibu tupu...
Ni siasa Tu za bongo zimekaa kutuchuma wananchi na wanajipatia nafasi kwa raia wasio na akili ... Diamond hana uwezo wa kuwa Kiongozi wa kigoma ... Miaka yake yote ya usupastaa wake hajawahi kufanya lolote la maana kigoma (Kama lipo andika hapa)... Ni juzi ndio katoa msaada wa msikiti...
Mimi ni raia wa kigoma mjini , huwa sipendi kujichangamanisha na raia wengine wa hizo wilaya zingine wasiojielewa , kwasababu kigoma mjini ndio chimbuko la mabadiriko miaka na miaka hususani ujiji (My home town).. Sehemu yenye watu wanaojielewa tangu na tangu na sio waha waliojaa ujinga kichwani na ushamba ....
Sent using
Jamii Forums mobile app