Haya mambo watu wanajifanya kumlaumu Mtikila hawajui kibao kinaweza geuka.
Mtikila KASEMA na anayeona hatendewi haki angechukua vipeperushi hivyo akatinga navyo mahakamani
Sitoshangaa na siku zaja
Pale DR SLAA atakapobondwa mawe kwa kuwaita jamaa MAFISADI maana atakua naye ni mchochezi.
Ama siku hiyo mtasema ambaye hakupendezwa na maneno yake angeenda polisi na mahakamani??
Mtikila KASEMA na anayeona hatendewi haki angechukua vipeperushi hivyo akatinga navyo mahakamani
Sitoshangaa na siku zaja
Pale DR SLAA atakapobondwa mawe kwa kuwaita jamaa MAFISADI maana atakua naye ni mchochezi.
Ama siku hiyo mtasema ambaye hakupendezwa na maneno yake angeenda polisi na mahakamani??