Sipati picha kama dhahma hii ingemkuta Dr Slaa au Zitto nadhani wanamgambo wa Chadema hapa JF wangekuwa wananoa mapanga yao. Ama kweli mkuki mtam kwa nguruwe...
Sipati picha kama dhahma hii ingemkuta Dr Slaa au Zitto nadhani wanamgambo wa Chadema hapa JF wangekuwa wananoa mapanga yao. Ama kweli mkuki mtam kwa nguruwe...
1. Kusema mtu amemuua mwingine ni kosa la jinai. Mwenye wajibu wa kufungua kesi ni jamhuri. Sio Mbowe, Mengi, Slaa, Mnyika wala Zitto. Hivyo, polisi wamkamate Mtikila.
2. Kusema kwamba asishushwe jukwaani apelekwe mahakamani nayo ni kituko kwa kuwa akishtakiwa leo kesi itaisha mwaka 2009 wakati uchaguzi wa Tarime ni Oktoba 12 mwaka 2008.
Huyu ndiye Mtikila, aliyefungwa jela kwa kusema CCM wamemuua Kolimba na aliyeshtakiwa kwa kuita maiti ya Nyerere kuwa ni MZOGA.
.......habarindiyohiyo
Inaonekana siasa za nchi ya Tanzania zinakwenda kubaya, watu wamefikia kutokujali maisha wala mustakabali wa Taifa kuanzia upinzani mpaka walioko madarakani, wanachojali ni kupata madaraka kwa njia yoyote ile iliyo mbele yao.
Wasifikirie matatizo ya Somalia, Sierra Leone, Liberia, Burundi, Rwanda etc hayawezi kufika Tanzania......kuna siku kama watu hawatakaa chini na kujirudi yatafika yaliyowafika wenzetu halafu tutakaoumia ni sisi walalahoi tusioweza kukimbilia ulaya na marekani.
Kuna makosa ya maneno kama Libel, defamation of character n.k. Lakini kwenye nchi yetu bado tuna sheria za kikoloni zinazohusu "uchochezi" na believe me zingekuwa zinafuatwa wengi wangekuwa hawasemi wanayosema leo.
Lakini mtu akidai "x ni mwizi" halafu watu wakamkimbilia yule mtu na kumpiga mawe kwa kuamini kilichosemwa kuwa "x ni mwizi" nani ana makosa? Vipi kama hakuwa mwizi? je yule aliyetoa wito huo kuwa "x ni mwizi" ana wajibika kwa maneno yake hayo?
Mwanzoni nilifikri watu waliojiunga na JF ni watu makini ambao wanakerwa na hali ya mambo nchini na hawafurahii huko tunakoelekea. Nilifikiri humu ndani kungepatikana maoni huru ya kulikomboa taifa bila kujali itikadi wala imani. Nilifikiri wachangiaji humu ndani wangetanguliza maslahi ya watanzania wote kuliko utashi wa makundi katika jamii. Nilivutiwa na hiki chombo ambacho mwanzoni niliamini kina credibility kwa kulinganisha na vipeperushi vingi nchini.
OH, how wrong I was !! I now find myself spending less and less time on JF for the truth is JF is no longer my favorite blog. When objectivity is lost, sycophancy takes over and you can see this in most of the posts. You look at a name and you know exactly the content and context, what a pity !!
Si mara ya kwanza Mtikila kupata matatizo kutokana na Kauli zake*****Kama kiongozi na Mchungaji anapaswa kujua anazungumza nini? na anazungumza na nani?****Kama ana uhakika kuwa Wangwe kauawa na watu wa Chadema,kwa nini asipeleke ushahidi huo Mahakamani?****Alitegemea nini kusema kuwa "Chadema wamemuua Wangwe?" na kibaya zaidi maneno hayo unayasemea Tarime.....ambako wamethubutu kutupia mawe hata gari la Makamu wa Mwenyekiti wa Chama Tawala?.
Nampa Pole zangu Mtikila...Lakini pia nae anapaswa kusoma Wakati *****Huwezi kwenda kuhubiri mambo ya Ukatoliki, Jalalabad au kufungua Duka la nyama ya Nguruwe Mecca....
GM ... Mengi anamiliki vyombo vya habari ... na kuna wanasiasa ambao wanaona vyombo vyake vya habari vinawawekea kauzibe....
vipi leo lowasa nikimvamia nakumpa kibana na mahakamani nasema aliyenihamasisha nifanye hivyo ni DR SLAA kwasababu amenitia moli kwa kuniambia jamaa ni FISADI na ametuibia mabilioni ya fedha ??
..hiii njaa mbaya sana ..hadi mtikila anaenda kutoa matusi mahali ambapo anajua fika ni kuhatarisha maisha....waliomtuma kwanini hawakwenda wenyewe???
Mwanzoni nilifikri watu waliojiunga na JF ni watu makini ambao wanakerwa na hali ya mambo nchini na hawafurahii huko tunakoelekea. Nilifikiri humu ndani kungepatikana maoni huru ya kulikomboa taifa bila kujali itikadi wala imani. Nilifikiri wachangiaji humu ndani wangetanguliza maslahi ya watanzania wote kuliko utashi wa makundi katika jamii. Nilivutiwa na hiki chombo ambacho mwanzoni niliamini kina credibility kwa kulinganisha na vipeperushi vingi nchini.
OH, how wrong I was !! I now find myself spending less and less time on JF for the truth is JF is no longer my favorite blog. When objectivity is lost, sycophancy takes over and you can see this in most of the posts. You look at a name and you know exactly the content and context, what a pity !!
hapana ukimvamia Lowasa na kumpa kibano nitakuwa wa kwanza kutaka utiwe pingu kwa kuvunja sheria!!
kwa hiyo una maana DR SLAA anaposimama jukwaani nakuita watu mafisadi HUA hatii huchochezi kwa kuwafitisha the said wafisadi na wananchi??
Ama uchochezi ni pale tu chadema inapohusishwa??
Duhh!! Mkuu umenikumbusha mbaaali kweliX2!! shujaa Silvester Stallon-"Rambo you are Expendable!"wangeenda wenyewe polisi wangeingilia kati; na polisi hawakuwa na mpango wa kuingilia kati kwani Mtikila ni expendable!
Ushahidi upi unataka wakati ripoti ya ukaguzi na ya tume ya Mwakyembe ziko wazi? Ni wajibu wa vyombo husika kuwapeleka mahakamani wahusika. Dr. Slaa hajasema waitwe Scotland yard kuchunguza maana ushahidi tayari uko wazi.kama Dr SLAA ana ushaidi wa EPA na Rirchmonduli aende mahakamani kwanini alisimama mwembeyanga?? jukwaani.