Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tulishasema huko nyuma kuwa Mtikila asemee hayo ya kifo cha Wangwe hukohuko Dsm akienda Tarime akitumia majukwaa kuyasema atapata matatizo hakuelewa.
Sasa yamemkuta,asifikiri watu hawaelewi kuwa hata mikopo badala ya kukopa benk siku hizi anakopa kutoka kwa wale waliotajwa kwa ufisadi. WATANZANIA WA SASA SIO MABWEGE, ajifunze.
Sasa yamemkuta,asifikiri watu hawaelewi kuwa hata mikopo badala ya kukopa benk siku hizi anakopa kutoka kwa wale waliotajwa kwa ufisadi. WATANZANIA WA SASA SIO MABWEGE, ajifunze.