Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Status
Not open for further replies.

Kwasababu alisema JK na Ditto walikumbatiana.
 
Kwasababu alisema JK na Ditto walikumbatiana.

wepi waliotungua jiwe ndio walisema jk na ditto wamekumbatiana ama unataka kusema jk ametuma watu wakamtungue??

Swali hujajibu
swali ni hili kwanini kama hao polisi wametumwa kwenda kuibeba ccm hawakutumia fursa hiyo ya mtikila kutunguliwa kuwakandamiza wanachama wa chadema??
Na badala yake wamekamata viongozi wa chama kilichowatuma??
 
Katika uchaguzi mdogo unao endelea hivi sasa Tarime kuna mengi ya kujifunza.La msingi hata hivyo ni hili la CCM kutumia nguvu nyingi kupita kiasi.Tumeshuhudia bwana Steven Wasira akitumia hata gari la serikali kufanyia kampeini na hatimaye kuonywa.Tumeshuhudia viongozi mbalimbali wa ngazi za juu kabisa wa CCM wakiongeza nguvu katika suala zima la kampeini.Na katika hali isiyo ya kawaida kabisa, hata Mtikila amekuwa 'drafted' kuongeza nguvu na hati za kupigia kura za CCM zinauzwa hovyo mitaani,ushahidi wa kijana yule aliyekamatwa mtaani ni dhahiri.Kwangu mimi hii ni ishara tosha kwamba CCM hawakubaliki tena na wako tayari kutumia mbinu zozote, hata chafu, kufanikisha adhma yao ya kupata kiti cha Tarime.Kama wangekuwa wanakubakika nguvu hizi zisingekuwa za lazima.Lakini ninalojiuliza mimi ni kwamba wanataka kumuongoza nani hasa,na wanachong'ang'nia ni nini?CCM wameshapoteza 'credibility'
kwa wananchi na hawaaminiki tena kabisa.Ni vema wakalitambua hilo na wakapisha wengine ambao wana nia ya kweli ya kuwasaidia wananchi wa Tanzania.CCM wanakotupeleka siko,tunawaomba kwa nia njema kabisa waondoke.
 
Imepikwa? kauli kaitoa msemaji mwenyewe wa polisi utasemaje kuwa habari ya kupikwa? Labda utuambie kuwa huyo Polisi ndio kapikwa!
 
Mkuu Field Marshal,

Maneno mazito hayo.Kuna wakati huwa naona CCM na vibaraka wake wamedharau wannchi mpaka inabidi ku-apply mechanization.Wananchi inabidi muwe na ujasiri kupapambana na dhuluma yoyoyte inayosababishwa na Dola.Kama CCm itatumia dola vibaya ili kupata madaraka,basi mimi nitaungana na wananchi watakaokua wanakabiliana na hiyo hali.Ukandamizaji uwe mwiko.


Nguvu ya umma itumike kukabiliana na matumizi mabaya ya dola,hilo nitalikubali ikiwa gharama ya kupata haki ni lazima kupapambana.
 
Imepikwa? kauli kaitoa msemaji mwenyewe wa polisi utasemaje kuwa habari ya kupikwa? Labda utuambie kuwa huyo Polisi ndio kapikwa!

Hukunielewa.

mimi nasema ile ya kukamata wanachama wake na wa ccm na skendo la kupikwa kwanini isiwe hivyo?? kama la mbowe lilipikwa??
 
Hukunielewa.

mimi nasema ile ya kukamata wanachama wake na wa ccm na skendo la kupikwa kwanini isiwe hivyo?? kama la mbowe lilipikwa??
mkamap nimekuelewa ila habari ndio hiyo,
Mkuu umelisikia hilo la kukamatwa mtu ndani ya ofisi ya CCM akinunua shahada za kupigia kura? nadhani hata hili laweza kuwa la kupika?
 
mkamap nimekuelewa ila habari ndio hiyo,
Mkuu umelisikia hilo la kukamatwa mtu ndani ya ofisi ya CCM akinunua shahada za kupigia kura? nadhani hata hili laweza kuwa la kupika?

ehe
sijasikia mkuu ehe nani aliyemkamata? makomandoo wa chadema AMA makomandoo wa ccm yani polisi na takuru??
 
ehe
sijasikia mkuu ehe nani aliyemkamata? makomandoo wa chadema AMA makomandoo wa ccm yani polisi na takuru??
Mkuu commandos wa Chadema nafikiri ni sera zao hivyo Chadema hawawezi kukamata mtu. Vyombo vyote vya habari leo hii vimetoa mpaka picha ya mtuhumiwa. Msemaji wa Polisi keshadhibitisha hilo kutokea.
 
Mkuu commandos wa Chadema nafikiri ni sera zao hivyo Chadema hawawezi kukamata mtu. Vyombo vyote vya habari leo hii vimetoa mpaka picha ya mtuhumiwa. Msemaji wa Polisi keshadhibitisha hilo kutokea.

Sasa imekua je? CCM wakamkamata CCM mwezao?? mbona sielewi mkuu.

Maana hapo mwanzo tuliambiwa ccm yani polisi wamejazwa huko kuisaidia ccm makamba ishinde SASA huko ccm polisi ndio wanaisaidia ccm makamba ama inaku
je hiyo??
 
Imetolewa mara ya mwisho: 29.09.2008 0035 EAT

Mwanafunzi abambwa akiuza shahada

Na Richard Mwaikenda, Tarime

 
Mmmmh atajifunza na huo ulimi wake nadhani alisahau kwamba ulimi uliponza kichwa.
 
Ni muhimu kufahamu kwamba Tarime ni mahali ambapo Mafisadi wanapatumia kutaka kujisafisha, na wanasema kwamba ufisadi uko mjini tena Dar pekee na kwamba Igunga, Monduli, Bariadi na Tarime hawajui ufisadi ni nini kwa hiyo watahakikisha wanashinda Tarime ili kuthibitisha maneno yao
 


Kwahiyo una maana gani ya kwamba wameigiza kumkamata huyo kijana ama chadema walimtungua Mtikila na polisi wakawakamata wafuasi wake ili kuhakikisha kua polisi wanafanya kazi bila kujali itikadi ya chama.

Mimi kinachonishangaza ni kua vyama vingine vyote hata vifanye nini ni maigizo Lakini chadema hongera nyingi wakati nao ni BIG ZERO.
 

mkamap unaweza ku save muda ukasoma na kuacha ama ungoje siku ukiwa na hoja nzito utaibuka maana inaonekana umechoka sasa unaelekea kupigana .Tujadili hoja ambayo ndiyo mada kuu na si kudivert issues
 
Lunyungu,
Umemjibu vema Mkamap. Unajua yuko nje ya nchi anasoma huyu na mambo yanayoendelea hapa Tz hajui anadakia hoja tu huyu. Asubiri akimaliza shule aje aingie kwenye chama cha majambazi waendeleze.
 
Lunyungu,
Umemjibu vema Mkamap. Unajua yuko nje ya nchi anasoma huyu na mambo yanayoendelea hapa Tz hajui anadakia hoja tu huyu. Asubiri akimaliza shule aje aingie kwenye chama cha majambazi waendeleze.

Kwa hiyo hoja inadakiwa je? mkuu

Vyama vyote ni Majambazi CCM,CHADEMA,DP ,CUF nk,

Mimi nionavyo nina ona huruma watanzania wezangu kwa kutaka kuingizwa mkenge mwingine kwamba chadema ni mbadala.

CCM hovyo kama walivyo hovyo CHADEMA na DP,CUF na wengine.

kuendelea kuweka mategemo kwa vyama hivyo mnapoteza wakati tu SANASANA mnachofanya ni kuwapa MAFISADI yani wenyeviti wa vyama hivyo ulaji.
 
mkamap unaweza ku save muda ukasoma na kuacha ama ungoje siku ukiwa na hoja nzito utaibuka maana inaonekana umechoka sasa unaelekea kupigana .Tujadili hoja ambayo ndiyo mada kuu na si kudivert issues


Na fahamu hujakosea hilo jina ila umeandika makusudi kabisa

Eti kwa akili hii kweli hawa ni viongozi wa chama mbadala ??
 
Tehe Tehe, kho, nimefurahi sana huyu jamaa kutandika jiwe la kisogo. Natamani lingekuwa la jicho angekoma kuwa kuwadi wa Ufisadi.

 
Na fahamu hujakosea hilo jina ila umeandika makusudi kabisa

Eti kwa akili hii kweli hawa ni viongozi wa chama mbadala ??


mkamap mimi unasema ? Nakuomba ubadili mwelekeo tujikite kwenye hoja na si vioja nk .Please
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…