Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu;
Nini sasa? ndo jumla au? nataka nifungue bia please tell me kama kata mbili zimejumlishwa
Mkuu;
Nini sasa? ndo jumla au? nataka nifungue bia please tell me kama kata mbili zimejumlishwa
miye nimeshatangaza kwenye KLHN!!!
Kabla hamjafurahia vizibo hivyo... Kuna maelekezo yanasubiriwa kutoka Mbeya na yawezekana Mkandara alikuwa sahihi, CCM inaweza kukubali kushindwa na kutoa pongezi kwa Chadema na hakuna kukata rufaa na hivyo kujionesha kuwa ni chama cha demokrasia. Tusubiri wataamua kwenda njia gani.
Sasa naweza kusema kwa uhakika na kwa mamlaka kuwa CHADEMA imeshinda uchaguzi wa Udiwani na Ubunge Tarime .
Ushindi huu hauna shaka hata kidogo kwani pamoja na kununuliwa kwa shahada n.k tumeshinda viti viwili kwa mpigo.
Ntawawekea matokeo in three minutes time.
Sasa naenda kulala maana ndoa ilikuwa hatarini mama ananisubiri mimi nipo na laptop all the time...viva wanatarime, huu upepo nadhani 2010 utavuma kila pembe ya Nchi. Bila shaka Rev Mtikila hatakwenda mahakani kuweka pingamizi...
Gnite guyz
Ushi wa Rombo
Usiendelee kuwa Kichwangumu, results ndivyo zilivyo.Zimethibitika.
Sasa naenda kulala maana ndoa ilikuwa hatarini mama ananisubiri mimi nipo na laptop all the time...viva wanatarime, huu upepo nadhani 2010 utavuma kila pembe ya Nchi. Bila shaka Rev Mtikila hatakwenda mahakani kuweka pingamizi...
Gnite guyz
Ushi wa Rombo
Nimekuwa bize sana mpaka nikashindwa kuja hapa ngoja nikafanye kasherehe kadogo kwani huu ni ushindi wa watanzania dhidi ya mafisadi nchini.
Nimekuwa bize sana mpaka nikashindwa kuja hapa ngoja nikafanye kasherehe kadogo kwani huu ni ushindi wa watanzania dhidi ya mafisadi nchini.
Mkeo ina maana yupo na akina makamba???
Mkuu weeee acha tu mambo ya ndoa haya na siasa mmmmmhh shemeji yenu nadhani yupo na akina Makamba ile sura ya Muungwana ilimchanganya, ana matenge na vilemba vya CCM ila huwa havai nadhani alipewa kwenye kampeni za 2005.....nadhani amegundua nadharia ya KASI MPYA, NGUVU MPYA NA ARI MPYA ni utopia....
Sasa naweza kusema kwa uhakika na kwa mamlaka kuwa CHADEMA imeshinda uchaguzi wa Udiwani na Ubunge Tarime .
Ushindi huu hauna shaka hata kidogo kwani pamoja na kununuliwa kwa shahada n.k tumeshinda viti viwili kwa mpigo.
Ntawawekea matokeo in three minutes time.