Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 145
Mkuu weeee acha tu mambo ya ndoa haya na siasa mmmmmhh shemeji yenu nadhani yupo na akina Makamba ile sura ya Muungwana ilimchanganya, ana matenge na vilemba vya CCM ila huwa havai nadhani alipewa kwenye kampeni za 2005.....nadhani amegundua nadharia ya KASI MPYA, NGUVU MPYA NA ARI MPYA ni utopia....
Ataelewa tu kaka usihofu. all the best then