Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Hili ni la uchaguzi wa Tarime ni kubwa zaidi kuliko chochote kile mwaya. Kama hili lisingenitoa huko basi hakuna tena lingine lolote ambalo lingeweza. Leo ni siku ya furaha sana kwangu. I am so happy that nafikiria kuruka angani na kupaa mpaka golden gate bridge na kufanya makelele makubwa sana ili wote wa San Francisco mpaka Manhattan NY wanisikie.

Asante sana Mkjj, ninapanga kuja huko weekend, nitatengeza sambusa za nyanya na vitunguu saumu - no meat please!

pouwa hata tuendelee kumkoma nyani giledi, furaha yako ni yangu!
 
jamani lini pati ya kusherehekea ukomandoo wa wana tarime jamani jamani tarime kuna kabila gani ,,,na mmie mwana tarime kuanzia leo jamani
 
jamani tarime kuna kabila gani huko na mie

kuannjia leo ntarime halisi!!!hawa watu nawaheshimu kwa mambo mengi

1)))hawanunuliki hakika wameionyesha CCM pesa sijambo la maana kuliko utu wa binadamu

2))wamedhiirisha kwamba wana akili ,,jamani wamekula pesa za ccm hawa wachenzi mpka a nawapenda na uchaguzi wakawajeruhi!!!wengine wangeogopa

3))wana ujasiri ccm kila wanapotaka kutumia pesana vijisent vyao na maguvu yao pamoja na ma polisi wao waliwahenyesha wakina tossi kwa raha zao!!!!!

jamani ushauri tunaomba hawa jamaa wapatiwe ajira jeshini haraka iwezekenavyo
 
jamani lini pati ya kusherehekea ukomandoo wa wana tarime jamani jamani tarime kuna kabila gani ,,,na mmie mwana tarime kuanzia leo jamani

hiyo itafanyika karibuni ngoja watu wajipange vizuri.... one thing for sure, yale mambo ya columbus Ohio hayatakuwepo....kwi kwi kwi .....

For now, kuna babikiu huko motor city weekend kama utaweza kufika. Najua the best radio na DJ's wa bongo radio chini ya dj mashuhuri Geeque na Denis wataweza kuwepo. Bila kumsahau the only one wa East Afrika yote Mwalimu Abtichaz, my inlaw Nyani Ngabu, na engine ya mapambano ya kifkra hapa US na kote ulimwenguni Mzee Mwanakijiji.
 
Sidhani kama CCM waliweza kununua shahada 20,000 bila ya CHADEMA n.k. kutokupata habari. Hivyo vitisho vya watu kwenda kuchukua silaha zao na kuingia mitaani, ni lazima ziliwafanya wasio wakereketwa wa CHADEMA na CCM kukaa nyumbani.

Despite winning, CHADEMA have to be worried of 10% decrease in support. Kama upungufu huo ungetokea kwenye jimbo lingine lolote waliloshinda ubunge 2005, basi wangepoteza hivyo viti.

Such a poor analysis! Hivi nguvu kubwa ya ccm, serikali na dola iliyotumika huko dhidi ya Chadema huioni? Wanadamu hawana mioyo ya chuma. Maguvu yakizidi wanatikisika na kutishika.
 
Such a poor a analysis! Hivi nguvu kubwa ya ccm, serikali na dola iliyotumika huko dhidi ya Chadema huioni? Wanadamu hawana mioyo ya chuma. Maguvu yakizidi wanatikisika na kutishika.

Invincible,

Huyo muache tu, atatafuta kila kitu ili kuibashia CHADEMA hapa jamvini. Hiyo ni kawaida yake na sasa amezoeleka hapa.
 
Invicible,

Huyo muache tu, atatafuta kila kitu ili kuibashia CHADEMA hapa jamvini. Hiyo ni kawaida yake na sasa amezoeleka hapa.

Good to see you back lady. My wife really admires your posts. She kept asking me all the time: Where is Mwafrika wa kike? Now I have a satisfying answer.
 
Good to see you back lady. My wife really admires your posts. She kept asking me all the time: Where is Mwafrika wa kike? Now I have a satisfying answer.

Asante Invincible...... nice to hear about your wife. Tanzania ni yetu sote bila kujali gender, kabila, asili na mengine yote. Tutafanya kile tuwezacho na kwa nguvu zote kujikomboa toka kwenye makucha ya mafisadi wasio na soni.
 
Such a poor analysis! Hivi nguvu kubwa ya ccm, serikali na dola iliyotumika huko dhidi ya Chadema huioni? Wanadamu hawana mioyo ya chuma. Maguvu yakizidi wanatikisika na kutishika.


Unaweza kusingizia kila kitu, lakini ukweli unabaki pale pale kuwa kuna karibu 13% deacrease ya support kwa CHADEMA.

Inaweza ikawa ni kwa sababu ya maguvu au pesa za CCM, inaweza ikawa sababu ya matatizo ya CHADEMA yenyewe, ukosefu wa amani n.k. Kisichofichika ni kuwa kuna upungufu na ni juu ya CHADEMA kutafiti walipoenda mrama. Tarime has been all along their territory.
 
Invincible,

Huyo muache tu, atatafuta kila kitu ili kuibashia CHADEMA hapa jamvini. Hiyo ni kawaida yake na sasa amezoeleka hapa.


Mwafrika wa Kike,

Umetokea wapi? Tulikuwa tuna ku miss hapa JF. Karfibu sana, ila siku nyingine uwe unaaga.
 
Kubwajinga,
Tarime has been all along their territory.

Hee mkuu leo imekuwa hivyo tena mbona majuzi tu mlisema CCM inashinda!.. Na kwa nini isiwe CCM kujiuliza wameshindwa vipi!..
Hiyo asilimia 13 inaweza kuwa vijana waliohama Tarime kwenda ishi nje ya wilaya hiyo ama ni ongezeko la watu wa CCM walioletwa wasioishi Tarime...who knows, mkuu ushindi jamaa ndio wameisha pata hizi kasoro mtazijua nyie...
 
"Mgombea Kangoye wa CCM bado hatambui ushindi wenu....."

Mkuu, Kangoye kutotambua hakubadili fact of the matter...
 
"Mgombea Kangoye wa CCM bado hatambui ushindi wenu....."

Mkuu, Kangoye kutotambua hakubadili fact of the matter...

Yeye ni nani hasa? Hata asipotambua,haituhusu.Shauri zake Yeye na makamba na mzee wa mungiki Stanley kolimba Mungiki.we don recognise him!

KubwaJinga,

Najua unashangilia kimoyomoyo ila tu kwa baadhi ya wabongo kutaka sifa ya kutaka kuonekana una msimamo.Bro,ulitamani sana hilo kokoro lishinde but no chance buddy.I'm sorry.

Ngoja kwanza dada yako asha Abdala aje hapa utasema nae vizuri
 
WanaJF
Hongereni sana,napongeza secrtariat ya CHADEMA kwa kazi nzuri na kujipanga vizuri kimkakati.Nimeamini hiari yashinda utumwa.Miguvu ya barrick yote imeshindikana wanatarime wameweka maslahi ya nchi mbele hawababaishwi na mabeberu na vikaragosi vyao.
Kwa nyongeza,huku mkoani iringa TLP imeshinda kata ya Lupingu,wilayani Ludewa.Eneo hilo wanakaa wakisi.Mwaka 2005, walichagua CUF ikawa bahati mbaya yule bwana alifariki baada ya mwaka mmoja.Ulipoitishwa uchaguzi mdogo,kama kawaida cha mafisadi wakatumia mizengwe na kunyakuwa ushindi.Haijapita mda mrefu yule diwani wa CCm akafariki na kusababisha huu uchaguzi mwingine ambao TLP wameibuka kidedea.
 
Kwanza mods na mkuu invisible mmeniudhi sana leo hii!

Mbona mmebadilisha heading? Tafadhali rudisha heading "chadema yaibwaga ccm tarime"

au "ccm yaangukia pua tarime"


au "ccm yaona cha mtemakuni mbele ya chadema"
 
Kwanza naipongeza CHADEMA, pili suala la kuoji upungufu wa kuungwa mkono CHADEMA haina mizani kwani ni dhairi vitisho na nguvu kubwa ya dola iliyotumika sio kama ya 2005.

La msingi ni kwamba wameshinda na kilichokuwa kinatakiwa sio wingi wa watu ni wingi wa kura na wamepata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom