Gustanza_The
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 126
- 7
Heshima mbele, mkuu unataka hata kunifundisha kiswahili mkuu?...Kiswahili safi tunaposema watu wa sehemu fulani wamelala haina maana wamelala usingizi isipokuwa wamelala kiakili...They can see but their minds are shut!.. ndio Ujinga huo kuu...Haiwezekani kuwa unaposema watu wamelala hauna maana ya Ujinga kwani kulala kiakili ni Ujinga na ndio maana wazungu wanachukua mali zao bila wao kufahamu....
No, that's ya own definition, Bob. Go back and read my original thread/replies. I kindly ask you to stop twisting my words to trying to justify your own prejudice.
Na kwabahati mbaya Barricks wamechukua mali kibao sasa ndio mnaamka..Yaani ujinga umewatoka..kwa hiyo binafsi siku zote mtu yeyote anayetumia.
No mkuu, watarime wameamka siku nyingi sana. Ila nadhani tatizo ni kwako ambaye umekuwa hu-pay close /enough attention kuhusu kilichokuwa kikiendelea huko Tarime tangu '98, wazungu walipoanza utafiti...
Kuhusu Tarime mkuu wangu wala usinambie kitu nimekuwa sehemu hizo toka mdogo nikienda Ikizu kwa jamaa zangu. hata mwaka jana nilikuwepo na kama unakumbuka nilitoa hoja moja kuhusiana na Miwa. Kwa nini Ukivuka mpaka tu kuingia kenya utaona mashamba makubwa ya miwa hali upande wa Tanzania hakuna kitu kabisa yaani pori...Na nikatoa pendekezo linalohusiana na sehemu hiyo... Kwa hiyo naposema zipingi hoja yenu nina maana kwamba Watanzania wote tumehsa amka hatujalala tena na vizuri sana issue hii imepata watu wanaoweza kuisimamia ikiwa wabunge wetu wameshindwa. Ni harakati ambazo zimeanzishwa na Mkurya ma wakurya lakini ziwe na mtazamo zaidi ya mipaka ya Tarime kama Kenyatta na Wakikuyu walivyopigania haki za Wakenya..Ilianzia wapi na kwa maslahi ya nani isiwe sababu ya kuzuia harakati hizi..
Naelewa mkuu. Expertisee yako kuhusu mambo ya Tarime [all this 'miwa' thing] is superb!
...hadi sasa hivi mnaachamwanya mkubwa sana wa CCM kujibu mapigo yetu tena kwa viabaya sana kuliko hata madai ya Zanzibar ambo inajulikana hapo awali ilikuwa nchi yenye mamlaka yake...
Kuhusiana na uwanja wa ndege unataka kunambia hao wachimbaji wadogo ndio watakuwa na ndege zao zikiruka kwenda nje kuuza hizo dhahabu au?..Hivi kweli unaelewa ukubwa wa investment ya dhahabu na vitu vinavyohusiana na uchimbaji...
He he he...!! Sasa umeamua kunichekesha mkuu! I think sasa ni bora tu tukaiachia hii issue hapa maana naona umeishiwa point...