Ombi: Hii ni independent thread hivyo ningeomba moderator (Invisible) aiache ijitegemee. In other words, P'se don't move it. I kindly request so.
Now, the thing that bother me the most, I suppose, is that the journalistic excellence in Tanzania is almost zero or close to nothing. It's not only unprofessional, it's ridiculously insane, too. And I hate it. I can't stand it.
The thing is: yes, kuna historia ya vita vya kikabila na koo wilayani Tarime since the era of Alexander the Great, but it really angers me kuona jinsi waandishi uchwara na wajingawajinga wa CCM [Msekwa, especially]wanavyotaka/jaribu ku-exploit hii issue kwa manufaa yao wenyewe. Manufaa ya kushinda uchaguzi mdogo wa uchaguzi huko Tarime.
Vita vya kabila na koo vimekuwa vikiendelea huko Tarime kwa muda mrefu sana! Je, ni kwanini hao wanaojidai ku-adress hili issue hivi sasa walikuwa kimya muda wote huo? Why now? Why are they playing politics na maisha ya wananchi wa Tarime? Why?
Coz kumekuwa na habari za kipumbavu sana lately kwenye vyombo mbalimbali vya habari ambazo lengo kuu ni kuipaka Tarime matope Kwasababu tu Tarime imeikataa CCM.
Mfano, akizungumza na Alasiri, Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bw. Pius Msekwa, alikariiwa jana akisema, "Kampeni zinaendelea vizuri, lakini huku kuna mapigano ya kikabila, hivyo ulinzi mkali unahitajika, maana unaweza ukawa katika kata hii, ukasikia katika kata nyingine yamezuka mapigano."
Lakini ukweli ni kwamba: Hivi sasa hakuna mapigano ya kikabila huko Tarime. In fact, CCM ndiyo inayotumia vitisho na nguvu kunyamazisha wale wasiokubaliana na sera zake huko Tarime. And I'm not confused about this. P'se follow me closely:
Gazeti la Alasiri, 2008-09-29 15:59:09: Watu wanne walikamatwa jana katika kijiji cha Nyamongo, kutokana na kuwazomea viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, waliokuwa wakifanya mkutano wa kampeni kijijini hapo.
Think of it, Queen mwenyewe anazomewa!
Let me tell you something here: This whole thing of "Tarime Ngoma nzito," "Tarime hakukaliki," " Risasi zavuma Tarime," you always read/hear in the media is just a lie. Lie, Lie, lie.
Thanks.