Huyo ndio msimamizi wa uchaguzi wa tarime mpaka aseme hivyo ? Jamani tusitake kupotosha watu kwa makusudi wewe zitto kwanza unatafutwa na polisi
Shy umesema sahihi kabisa. Hiki kimuhe muhe cha nini watu wawe na subira watu design ya Zitto ( kama ni kweli ) wanaweza sababisha machafuko pindi matukeoa rasmi yatakapotoka kwa kudhani wameibiwa