Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
QAnaposema 'gharama kubwa' bila kutuwekea figure ni sawa na kutuuzia mbuzi kwenye gunia. Ni matarajio yangu kuwa CCM na Chadema wataweka hadharani haraka hesabu zao za matumizi wakati wa kampeni. hapo ndipo tutakapojua kama Msekwa anamaanisha nini anaposema 'gharama kubwa.'
Lakini, hakuyajua haya kabla hawajaingia kwenye kampeni ambazo yeye aliziongoza? nanusa harufu ya unafiki na kutaka kujiosha
Lakini, hakuyajua haya kabla hawajaingia kwenye kampeni ambazo yeye aliziongoza? nanusa harufu ya unafiki na kutaka kujiosha