Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is merely "storm in a tea cup"
Baada ya kushindwa sasa anafutwa mchawi nani ,wakati alikuwa mmojawapo wa waliokuwa wanawanga kuua haki ya kikatiba ya watu kuchagua wanayemtaka.Nadhani Tinga tinga anawacheka sana,Nguvu nyingi akili sifuri.Bado sasa kule Jimbo la Biharamulo Magharibi,maana Phares KABUYE naye anawasubiri kwa hamu sana.Tangazeni uchaguzi
hivi uchaguzi mdogo biharamulo ni lini???...........maana wakati umefika...kwa utendaji wa kisanii wa jk ..mwaka 2010..wapinzani watapata zaidi ya asilimia 40 za viti vya bunge...
inatakiwa baada ya kushinda tarime wapinzani wangepata kausafiri wafanye ziara nchi nzima dubbed kumtambilisha mbunge wao mpya ...waanzie kanda ya ziwa ..up..
Mkuu PM,
Heshima mbele, jana nilikuwa ninaongea na Mkulu mmoja wa CCM aliyetoka Tarime, nilipomuuliza kuhusu majimbo ya Biharamulo na Mwibara, kwa furaha sana alinijibu kua "....kijana kumbe hujui kuwa bunge lilishapitisha muswaada wa kupiga marufuku chaguzi ndogo za ubunge miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu?..." akaniambia kuwa maana yake ni kwamba hakutakuwa na mbunge au uchagiz kwenye haya majimbo mpaka uchaguzi mkuu wa 2010,
Nilipombana zaidi, akaniambia "....kijana uchaguzi ukifanyika leo hatushindi CCM..., kwa hiyo hii sheria ni nzuri sana kwetu..."
Sasa hebu wakuu wanaojua vizuri je hiyo sheria ipo kweli au?