Gwajiboy popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone ulipo tafadhali.Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima,waliabudu kwenye full suit ya mabati pale ubungo,wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe,wakarudi kwwnye magofu ubungo,
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa,kweli ubunge unalipa.
Bila picha habari hainogiKama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima,waliabudu kwenye full suit ya mabati pale ubungo,wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe,wakarudi kwwnye magofu ubungo,
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa,kweli ubunge unalipa.
Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima,waliabudu kwenye full suit ya mabati pale ubungo,wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe,wakarudi kwwnye magofu ubungo,
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa,kweli ubunge unalipa.
Milioni 11 kila mwezi siyo mchezo mzeeKama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima,waliabudu kwenye full suit ya mabati pale ubungo,wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe,wakarudi kwwnye magofu ubungo,
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa,kweli ubunge unalipa.
Tena husumbuliwi kabisaukiwa mbunge ni zamana tosha ya kuomba mkopo
Hata yeye siku zake za kubakia na huo ubunge zinahesabikaNi mjanja sana,ndugai aliposema nchi itauzwa kumbe alimtumia sms kumpongeza,aliposikia mawasilaino ya ndugai yanafuatiliwa akaitisha press kumtaka ajiuzulu
Alianza kujenga usiku na mchana kabla ya kuwa Mmbunge.. hapo nakupinga mkuu pamoja na kwamba Ile video bhana ni yeye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima,waliabudu kwenye full suit ya mabati pale ubungo,wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe,wakarudi kwwnye magofu ubungo,
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa,kweli ubunge unalipa.
ππππNi mjanja sana,ndugai aliposema nchi itauzwa kumbe alimtumia sms kumpongeza,aliposikia mawasilaino ya ndugai yanafuatiliwa akaitisha press kumtaka ajiuzulu
Sio kweli kwa hao wachungaji sadaka wanazopata kwa mwezi ni mshahara wa mbunge wa miezi zaidi ya 2!!Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima, waliabudu kwenye full suit ya mabati pale Ubungo, wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe, wakarudi kwenye magofu Ubungo.
Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa, kweli ubunge unalipa.
Wakati huo huo akidai atawapeleka Kawe nzima Marekani kwa gharama zakeKwa hiyo alikuwa ananunua ndege wakati kanisa hana? Muhuni mmoja huyo!