Ubunge unalipa: Gwajima alishindwa kujenga Kanisa kwa miaka 20, kapata Ubunge juzi tu, Kanisa linajengwa usiku na mchana

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima, waliabudu kwenye full suit ya mabati pale Ubungo, wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe, wakarudi kwenye magofu Ubungo.

Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa, kweli ubunge unalipa.
 
Gwajiboy popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone ulipo tafadhali.
 
Bila picha habari hainogi
 

ukiwa mbunge ni zamana tosha ya kuomba mkopo
 
Milioni 11 kila mwezi siyo mchezo mzee
 
Alianza kujenga usiku na mchana kabla ya kuwa Mmbunge.. hapo nakupinga mkuu pamoja na kwamba Ile video bhana ni yeye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Ni mjanja sana,ndugai aliposema nchi itauzwa kumbe alimtumia sms kumpongeza,aliposikia mawasilaino ya ndugai yanafuatiliwa akaitisha press kumtaka ajiuzulu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio kweli kwa hao wachungaji sadaka wanazopata kwa mwezi ni mshahara wa mbunge wa miezi zaidi ya 2!!
 
sio ubunge tu, biashara ya siasa kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…