Ubunge unalipa: Gwajima alishindwa kujenga Kanisa kwa miaka 20, kapata Ubunge juzi tu, Kanisa linajengwa usiku na mchana

Ubunge unalipa: Gwajima alishindwa kujenga Kanisa kwa miaka 20, kapata Ubunge juzi tu, Kanisa linajengwa usiku na mchana

Kwa hiyo hata zile boti za uvuvi tuendelee kusubiri sio!!
 
Tatizo halikuwa hela bali vikwazo vilikuwa vingi sana. Sasa hv kaingia kwny system ndo amepata kibali
 
Kama kuna watu wavumilivu ni waumini wa Gwajima, waliabudu kwenye full suit ya mabati pale Ubungo, wakapigwa jua Tanganyika Pakers Kawe, wakarudi kwenye magofu Ubungo.

Baada ya ubunge kanisa lake linajengwa kwa kasi usiku na mchana tena ni ghorofa, kweli ubunge unalipa.
Hivi Kuna Lile la mlima wa Moto bado lipo?
 
Ni mjanja sana,ndugai aliposema nchi itauzwa kumbe alimtumia sms kumpongeza,aliposikia mawasilaino ya ndugai yanafuatiliwa akaitisha press kumtaka ajiuzulu

Perfect, sikuona Kwa nini Gwajima ataje sms! Ni kujisafisha; Ila Hakuna namna; Kama anahusika, itakulikan tu!

Press conference yenyewe la ku force force? Pressure yake imekuja baada ya Mama kuonyesha msimamo; Ma CcM mashenzy
 
Back
Top Bottom