Ubunge wa Halima Mdee na Wenzake ni Batili

Hivi ndivyo Gazeti la Nipashe lilivyoripoti
Kwa maoni yangu, walipoteza sifa tangu siku waliyofukuzwa na chama. Wamewekwa tu mgongoni kimasilahi. Hata kazini ukifukuzwa iwe kwa haki au kimakosa unakaa benchi na utadai haki zako ukiwa benchi na endapo itaonekana ulifukuzwa kinyume cha sheria mahakama itaamuru urejeshwe kazini na au ulipwe fidia. Kwa hawa 19 utaratibu huu haukufuatwa. Kuanzia hapo kasoro za kiuratibu zilianza kuonekana.
 
Naomba unieleweshe mkuu, umesema mahakama haijawatendea haki, how?. Na je kama lisipofanyika si Dr. Tulia atakuwa amedharau katiba? Asante

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Traitor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…