Wanaogopa kufukiwa na matinga tinga kama ilivokuwa kwa Ben na Hawa MchopaHuku watu hawana njaa. Ni mwendo wa kuhila tu. Na kumpigia kura mzalendo namba 1
Ni heri kwenye ukweli tusemeSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Wanajeshi wa kwenye keyboard watashinda vita gani?Vita inalazimishwa kwa udi na uvumba
Oooh kula nyumbani kura kwa JPMWanaogopa kufukiwa na matinga tinga kama ilivokuwa kwa Ben na Hawa Mchopa
Ngojeni kwenye boksi la kula ndii muanze kuziiba
Na wa CCM wapya wote wajua kujaza kuliko opposition?? Au?Tena siyo opposition tu,malizia wapya wa opposition.Umeona mzoefu Mbunge wa opposition kaenguliwa kisa kakosea kujaza form ?
Kuna watu hua mnafikiria kwa makalio. Itโs obvious kinachofanyika, sheria inawaruhusu pia kukukataa bila kukupa hata sababu (imeandikwa).Nani analipiza kisasi? Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.