imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Source? acha kulifanya jukwaa la watotoKwa ujazaji wa fomu hivi atapita kweli?? Tarehe ya kuzaliwa ni 10/09/2020!! Eti wanaonewa!! Gumbalu kabisa!!
View attachment 1552216
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source? acha kulifanya jukwaa la watotoKwa ujazaji wa fomu hivi atapita kweli?? Tarehe ya kuzaliwa ni 10/09/2020!! Eti wanaonewa!! Gumbalu kabisa!!
View attachment 1552216
Kwa ujazaji wa fomu huu nani apite!! Mmebaki kujisifu humu tu JF mlipashwa kwenda mitaani kuwafunza watu wenu kujaza fomu kama kweli ni wasomi lakini maneno tuuuu. Angalia hii fomu ya Mwanasaccos alivyojaza!!Mazengwe ya CCM kama vile pemba Usalama wa Taifa wako bize kuwaengua maustazi wa ACT vita vikitokea ni Watanzania wenzetu watakaopoteza maisha
Yaani CCM lofindo tu
Source ni mimi! Hutaki acha!Source? acha kulifanya jukwaa la watoto
Angalia ufunguzi wenu Kawe leo... nyomiiiiSource? acha kulifanya jukwaa la watoto
Hiyo karatasi ya kuchambia umemua kuiandika madudu halafu unaileta humu ipeleke chooni ikafanye kazi inayostahiliSource ni mimi! Hutaki acha!
Unahangaika sana nyege zitakuuaAngalia ufunguzi wenu Kawe leo... nyomiiii
View attachment 1552240
Maalim anapotosha watu tu. Amejua vipi kama ni usalama wa taifa? Kama wameonewa wanatakiwa wakate rufaa sio kuleta uchochezi.Mazengwe ya CCM kama vile pemba Usalama wa Taifa wako bize kuwaengua maustazi wa ACT vita vikitokea ni Watanzania wenzetu watakaopoteza maisha
Yaani CCM lofindo tu
Hakuna siri dunia hiiMaalim anapotosha watu tu. Amejua vipi kama ni usalama wa taifa? Kama wameonewa wanatakiwa wakate rufaa sio kuleta uchochezi.
Maalim ameshajua anashindwa.Hakuna siri dunia hii
Labda mke wa jecha kakupigia simuMaalim ameshajua anashindwa.
ccm are just stupid; and fucking cowards.
Ahaaaa. Hali mbaya sana kwa upinzani.Labda mke wa jecha kakupigia simu
Jecha ndio aijuayeAhaaaa. Hali mbaya sana kwa upinzani.
Tumbotumbo inabidi arudi Igunga kulima mpunga.Chadema wanapenda sana kujiliza na kugalagala Kama watoto
Savimbi angetueleza kwa nini ameenguliwa badala ya kukimbilia kulia mitandaoni
Kila la heri kwake na rufaa yake
Zikiwa na mashiko hawezi ogopa kuweka wazi.Ukiona hivyo jua sababu zina mashiko.Anaogopa kuzitaja. Kubenea kalipa.
Maaskari wa nyuma ya kibodiTutakuunga mkono kamanda. Kilichobakia ni kwenda front tu.
Yeye si ndio aliyeweka pingamizi akajinasibu!
Labda ubishi na mahaba yako kwa ccm vinakuposha msanii! Soma tena, nimesema; sote tupaswa kushika sheria! Hakuna aliye juu ya sheria, hata mgombea wenu, angepaswa ahukumiwe na sheria ile ile iliyo mhujumu Devotha Minja kule Moro, picha na kiwango cha picha! Tatizo lilopo siyo tu CHEDEMA kushindwa kuzijua na kuzifuata sheria, tatizo ni kwamba CCM wanapo fanya kosa hilo hilo, tume inawapotezea!! Lakini tatizo kubwa zaidi, ni pale ambapo, kunakuwa na makosa ya kutengenezwa na tume, kutekwa na polisi au green guards, takukuru, TISS na kadhalika! usawa hakuna, mnabaka sheria, alafu unafanya propaganda hapa kama kwamba Wewe ni kipofu, na hata ukiwa kipofu tambua tu kwamba hapa JF, wengi tuna macho, hakuna wa kumpotosha hapa!!Kwa hiyo ni CHADEMA pekee ambao wanapaswa kuwa pardoned na sheria?
Dude likiamshwa ndo utajuaMaaskari wa nyuma ya kibodi
Kwani ndio waliomuwekea pingamizi? Si ACT au?CCM inalinajisi Taifa