sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Akiwekewa yeye anasema uhuniSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwekewa yeye anasema uhuniSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Kama baba yenu mwenyewe alipiga picha anaangalia pembeni, nyie ni Nani msikosee?!Hakuna aliyekosea sheria na kanuni za uchaguzi
Hizo ni nyimbo au ngonjera zilizopitwa na wakati. Sasa hivi tunaingia kidigaital hadi mkunje midomo yenu kwa hasiraIngia barabarani watz wakuonyeshe!
Fuateni sheria enyi wajivuniKama baba yenu mwenyewe alipiga picha anaangalia pembeni, nyie ni Nani msikosee?!
Makamanda pumzi zimepigwa spana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haijalishi paka ana rangi gani mradi anakamata panya.Halafu ujue ACT ndo waliweka pingamizi juu Bon.
Wakiona kosa kwa nini wasikuambie, au basi unafuata mwanasheria wako anahakiki pia.
CCM ipo makini. Hakuna mwenye pembe na mjuaji kila mmoja anatimiza wajibu wake na kuheshimu kwa kuzifuata sheria na kanuniKwa ujuzi upi !!?
kwa hiyo na wewe unaamini ni wapinzanani pekee ndio wanakosea kujaza fomu?Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Kufuata sheria na katiba ya nchi ni jukumu letu sote! Tatizo mnajiona mpo juu ya sheria, lakini ungekua mwerevu ungekubali tu kwamba refa anayesimamia mchezo huu ni wa ccm!Fuateni sheria enyi wajivuni
Sio kweli, huyu Boniphace kuna kitu amekosea. Kumbuka hata wanaCdm walimuwekea pingamizi.CCM inalinajisi Taifa
Mh...!Nani analipiza kisasi? Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Wale vibaraka wa CCM na wewe mtu mzima unaaminiSio kweli, huyu Boniphace kuna kitu amekosea. Kumbuka hata wanaCdm walimuwekea pingamizi.
Kwa hiyo ni CHADEMA pekee ambao wanapaswa kuwa pardoned na sheria?Kufuata sheria na katiba ya nchi ni jukumu letu sote! Tatizo mnajiona mpo juu ya sheria, lakini ungekua mwerevu ungekubali tu kwamba refa anayesimamia mchezo huu ni wa ccm!
Ahaaa, ndio visingizio vilivyobaki. Mbona walimfukuza Chadema na akatemeshwa umeya.Wale vibaraka wa CCM na wewe mtu mzima unaamini
Chadema wanapenda sana kujiliza na kugalagala Kama watotoKwanini kaenguliwa mkuu!? Chanzo cha kuenguliwa ni kipi!?
Mazengwe ya CCM kama vile pemba Usalama wa Taifa wako bize kuwaengua maustazi wa ACT vita vikitokea ni Watanzania wenzetu watakaopoteza maishaAhaaa, ndio visingizio vilivyobaki. Mbona walimfukuza Chadema na akatemeshwa umeya.
Kwa ujazaji wa fomu hivi atapita kweli?? Tarehe ya kuzaliwa ni 10/09/2020!! Eti wanaonewa!! Gumbalu kabisa!!Tahadhari ilishatolewa mapema na Mimi nikaileta humu several times Jiwe katoa maelekezo wateule wake wapite bila kupingwa.