Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

CCM ndiyo baba lao kwa sasa. Bora uunge juhudi tu kupitia kukatwa maana kipindi kile cha udiwani was not successfully.
 
JIKONO JANDAMA front anajifanya mcha Mungu kumbe kwa Background ni hatari sana,anaelekeza mambo ya kiovu sana.
 
Uko sahihi kabisa...Chadema utafikiri wamelogwa...walipaswa kujifunza kill kilichotokea kwenye wa serikali za mitaa...CCM ni wajanja Sana kwani wakati wa kujaza wanawatumia wanasheria nadhani...Sasa Hawa Ndugu wanatumia uanarakati katika kujaza fomu pamoja na vitisho vya kulala barabarani...hopeless kabisa..
Tena ukishajua wewe ni chama cha upinzani ,umakini unatakiwa uwe mkubwa sana tena sana. CCM itakuwa kila jimbo kuna mtu anaelekeza jinsi ya kujaza kwa wale wenye ugumu kwenye kujaza form.

To be honest. Chadema hawako well organised.
 
Mpaka tarehe ya uchaguzi watakuwa wameisha wote.

View attachment 1551731
Na.

Mwandishi wetu kigoma.


MGOMBEA UDIWANI CHADEMA KATA YA RUBUGA *OMARY GINDI* AKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA UTAPELI


Mgombea udiwani kata ya Rubuga kupitia chama cha demokrasia na maendeleo akamatwa na polisi na kufungwa kwa kosa la utapeli kama kawaida yake kuwa anauza pembe za ndovu.

Mgombea uyo alikamatwa jana akiwa hoteli na kuanza kuwalaghai na kufanya utapeli huo na baadae kukamatwa na polisi na mpaka sasa yupo ndani

Kigoma inahitaji madiwani safi na sio matapeli kama OMARY GINDI WA CHADEMA KATA YA RUBUGA.

Kigoma yetu safi hatuitaji matapeli kama OMARY GINDI WA RUBUGA TOKA CHADEMA.


KIGOMA YETU
KIGOMA MPYA
 
Wagombea ubunge wengi wa darasa la saba ni kutoka CCM lakini hao hao wameweza kujaza fomu bila mapungufu na hawajaenguliwa, mapinzani wamejazana madegree ila kujaza form hawawezi. Inashangaza.
 
Ooh tumejenga madaraja ,Zahanati alafu unaogopa wagombea wa upinzani ,NEC ccm acheni uhuni..

Rudisheni wagombea wetu sanduku la kura liamue.
 
Ana mihemuko sanaa hafai kuwa kiongozi CHADEMA ina watu makini
 
Nipo pembeni nimejibanza nakunywa Alkasusi, nakumbuka maneno ya Pro-Chadema dhidi ya Jk, kuwa rais dhaifu anacheka cheka tu.
 
Back
Top Bottom