Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Ila busara itumike, waache washindane, mbona kushinda tu safari hii ni ngumu!!
Cha kusikitisha ACT wazalendo ndiyo imesababisha hili
Cha kusikitisha ACT wazalendo ndiyo imesababisha hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini kaenguliwa mkuu!? Chanzo cha kuenguliwa ni kipi!?
Ila nadhani kuna pingamizi na kuenguliwaSema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Tena ukishajua wewe ni chama cha upinzani ,umakini unatakiwa uwe mkubwa sana tena sana. CCM itakuwa kila jimbo kuna mtu anaelekeza jinsi ya kujaza kwa wale wenye ugumu kwenye kujaza form.Wanakosea wapinzani tu? Hizo fomu zina lugha ya ki-ccm ?
Wewe uliza tu huo utopolo. Robert Amsterdam anakusanya huu kama ushahidi , John ataozea gerezani. Shauri zenu.kwani wananchi wa ubungo walimwambia wanampenda yeye jacob?
Kwanini haelezi mapungufu analialia?
Robert Amsterdam anachemsha dawa ya ccm. Huyu John ataozea gerezani.Tena ukishajua wewe ni chama cha upinzani ,umakini unatakiwa uwe mkubwa sana tena sana. CCM itakuwa kila jimbo kuna mtu anaelekeza jinsi ya kujaza kwa wale wenye ugumu kwenye kujaza form.
To be honest.Chadema hawako well organised.
Ila ukweli unaujua ila unataka tu jukwaa lichangamkeNani analipiza kisasi ?Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Kwani kuweza kujaza hizo fomu mpaka uwe na degree ngapi?!Nani analipiza kisasi ?Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Hakuna kitu kama hicho. Hayo ni maneno tu.Robert Amsterdam anachemsha dawa yao. Huyu John ataozea gerezani.
Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Wala siyo degree bali inahitaji uzoefu. Angeenda hata kumuuliza Halima Mdee angemsaidia.Kwani kuweza kujaza hizo fomu mpaka uwe na degree ngapi?!
Ujinga mtupu.
Hakuna mwanadamu asie na mapungufu, au huko CCM kuna malaika?!Kwanini haelezi mapungufu analialia?
Jacob akili yake kama ya Lisu tu!Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Sasa chadema inaanza kuandamana nchi nzima. Wakiwagusa waraka wa kukamatwa John unatolewaHakuna kitu kama hicho. Hayo ni maneno tu.
Hivi ingekuwa kuna kukosea kujaza fomu namna hiyo duniani kungekuwa na huduma kweli? Watu wangeenda vyuo kweli?Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Huu uhuni unatosha sasa, hivi huyo Mwenyekiti wa Tume haoni aibu kuwaengua wagombea wa upinzani pekee?!
Believe me,hakuna wa kuandamana. Subiri utanitag kama utaona maanadamano yeyote.Sasa chadema inaanza kuandamana nchi nzima. Wakiwagusa waraka wa kukamatwa John unatolewa