Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Wala siyo degree bali inahitaji uzoefu. Angeenda hata kumuuliza Halima Mdee angemsaidia.
Uzoefu gani walionao wagombea ubunge na udiwani wa Ccm ?!.

Uchaguzi Tz umepoteza maana yake. Uchaguzi wa kuviziana ?!. Utagombea u Rais bila wabunge ?! Kama ni serikali utaiundaJe ?!
 
B.Jacob siyo mzoefu!!,Acha kujitekenya bibie

Kwani Gwajima ni mzoefu ameulizwa jina amejaza Askofu ameulizwa kazi amejaza Askofu na fomu ya maadili amejaza tarehe 20/8 kabla ya siku ya uteuzi Na bado hajaenguliwa
 
Sasa wewe unarudishaje form bila kupiga photocopy ya form uliyorudisha ?Unawaambia tu wakuonyeshe form unalinganisha na copy yako.

Nani anamuda wa kukusikiliza hayo maneno yako na utawapata wapi hao wankuwauliza hayo maneno unajuwa maana ya mkakati wa kushinda mezani Kwani utakwenda wapi kama wao ndo wamekuengua hiyo copy utathibitishaji kama ndiyo ya hiyo original wakati hazifanani
 
Nani anamuda wa kukusikiliza hayo maneno yako na utawapata wapi hao wankuwauliza hayo maneno unajuwa maana ya mkakati wa kushinda mezani Kwani utakwenda wapi kama wao ndo wamekuengua hiyo copy utathibitishaji kama ndiyo ya hiyo original wakati hazifanani
Wamekosea wameenguliwa,Period.
 
Mwenye fomu tunaomba na sisi humu jf tuipitie tuone wanakosea wapi kuijaza kwanza
Vinginevyo CHADEMA mnatafta namna ya kulianzisha jambo na mkizingatia hamna hata fedha za kampeni, mna kila aina ya mbinu kuonekana mnaonewa😢😢

Mwenye fomu aitume tuione humu
 
Nani analipiza kisasi ?Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Kwa jibu hili nimegundua wewe ni kada mtiifu. Na unajitahidi sana kuwaondolea uhalali Chadema. Huna tofauti na Stroke, Jingalao etc.
 
Muulizeni TL si alitaka JPM aenguliwe, sasa Wabunge wenu wanaenguliwa kwa taratibu zile zile ambazo mlifikiri nyie ndio mabingwa. Muulizeni wakili wenu awasaidie (TL). Yaani mlijifanya wajanja kumbe ni wepesi hivyo? Mwaka huu mtakula jeuri yenu CCM haijaribiwi, wapo madarakani tangu tupate uhuru wao ndio chocheo la nchi zote za kusini mwa Afrika kuwa huru, wao ndio chocheo la kujikomboa kwa Mwafrika. Mtakula jeuri yenu hakuna simile sasa. Hapa Kazi tu!
 
Huna hoja nyumbufu,
JPM na akina ngosha wenzake Kumbe sio wa Tanzania [emoji1241] et,
Muulize Lissu uraia wake kwanza,
Alfu upime nanj mtanzania halisi

Dalili ya mtanzania halisi ni namna anavyosimamia haki na kulitakia amani taifa letu nyerere hata wakati wa chama kimoja hakuna mtu alikuwa anapita bila kupingwa wakati huo chama ni kimoja tu wananchi walipewa nafasi ya kuamuwa kuwa ndiyo au hapana leo hii mbunge anapita bila kuchaguliwa na wananchi kwa kuzuia wagombea wengine ili iweje. Tena mgombea mmoja anaagiza kabisa hadharani kuwa hataki kusikia mpinzani ameshinda hivo siyo dalili za kuagiza machafuko. Wananchi wamchague muwakilishi wao halafu msimamizi akatae kumtangaza
 
Toka lini makosa ya ujazaji wa fomu ikawa sababu ya kumnyima mtu haki yake ya kuchagua ama kuchaguliwa?

Kama kweli aliwahi kukutwa na makosa ya ukwepaji wa kodi,au kufungwa kwa kosa la jinai au labda si rais wa Tanzania hapo ingekuwa kweli.
Kunyimwa haki ya kugombea kwa sababu tu kuna mtawala hakutaki basi hii nchi itakuwa imerudi utumwani

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Tulia wewe. CCM wengi wazoefu. Na wapya lazima waliuliza wenzao mahali ambapo walikuwa hawaelewi. Haya Baba watoto nikuulize kitu kwani kuna Mbunge yeyote mzoefu yaani anaengombea kipindi cha pili/tatu kaenguliwa ?
Wewe kina Kishoa, Minja, Kiwanga si wazoefu ?!. Labda unasumbuliwa mapenzi.
 
ELEZENI CHANZO CHA KUENGULIWA NA SIO KULALAMIKA, WEKA BARUA HAPA ILI TUISOME NA KUONA TUME IMESIMAMIA VIGEZO GANI ULIVYOVIKOSEA ILI TUONE KAMA VINA MASHIKO AU UMEONEWA.
KULALAMIKA BILAUSHAHIDI SIO SAHIHI.

WEWE HUWA NI MSHARI HATA KWA WANACHADEMA WENZIO NA PIA UMEWASABABISHIA KUHAMA CHAMA.
 
Huu uhuni unatosha sasa, hivi huyo Mwenyekiti wa Tume haoni aibu kuwaengua wagombea wa upinzani pekee?!
Kama wao ndio hawakufuata masharti ulitaka iwaje? Waonewe huruma? Huwezi kumwonea huruma nyani utakula mabua.
 
Siyo kila ujinga umtetee Msukuma mwenzio. Subiri tuanze maandamano Nchi nzima ndio utajua huyo huyo msukuma mwenzio ameiingiza Nchi pabaya. Nitaandamana mwanzo mwisho hadi wagombea wote warudishwe na NEC Iundwe upya.
Mimi nlifikiri leo watu mngekuwa tayari mnaandamana, maana Lisu wenu aliwaambia hivyo jana
 
Back
Top Bottom