Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
John anahusikaje? Yeye kwa sasa ni kama Lissu, Lipumba, Hashim, Membe etc, wote ni wagombea urais!
 
Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Mnatia aibu kulalamika kila mara mkitendewa lililo haki. Pale Lissu, mgombea Urais CHADEMA alipowawekea pingamizi wagombea wa CCM na CUF, mbona wahusika walilipokea kistaarabu. Kuna kanuni na taratibu za kufuata iwapo mgombea ataenguliwa pasipo kufuata sheria.

Hiyo hoja yako ya kuipeleka nchi pabaya ni kinyume ukimaanisha viongozi wa CHADEMA wanakipeleka chama pabaya kwa kauli na matendo yao, hasa ya jana kwenye ufunguzi wa kampeni za chama.
 
Nadhani jamani imeonekana wazi wazi hata na watoto wadogo kwamba hakuna haki na sasa basi! Naelewa kinachoendelea hata wakati wa ukombozi wa Waisraeli kule utumwani Misri, Mungu aliufanya moyo wa Farao kuwa mgumu ili ampige kisawasawa, ndilo linalotokea hapa kwetu nasema tusubiri, sikio la kufa halisii dawa.
Mpaka tarehe ya uchaguzi watakuwa wameisha wote

View attachment 1551731
CCM wanapanga ushindi wa mezani lakini hawajui Aliye juu ya vyote anapanga nini juu yao...
Kwanini kaenguliwa mkuu!? Chanzo cha kuenguliwa ni kipi!?
Kumekucha
Tutafika
Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
CCM inalinajisi Taifa
Vita inalazimishwa kwa udi na uvumba
Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Hiyo sheria inaengua wapinzani tu? Mkuu acha kutema utopolo.
 
Chadema nataka niwaambie jambo moja kuhusu wagombea wenu wa ubunge.

Wagombea wengi wa ubunge wa chadema na vyama vyenye ushawishi, wanauza majimbo yao kwa kulipwa pesa na wagombea wenye nguvu,

Hii nibaada ya kubaini kuwa nivigum kuishinda ccm kwa jisi ilivyotekeleza mambo mengi ya kimaendereo na kusaidia wanyonge, wengi wanafika bei kuanzia 5ml. Mpaka 50ml. Kulingana na nguvu ya mgombea wa chadema.
Wanachama wa chadema wanasema viongozi wanakula wao tu hulo juu rudhuku, misaada, pa1 na michango inayotolewa kwa chama.

Nadhani chadema km mgelalamikia wagombea wenu kununuliwa hilo watanzania wangewaelewa.
Lakini mkisema kuenguliwa kwa pingamizi mnamaanisha mnaouwezo wa kupinga ktk ngazi zte na kuweka ushahidi hadharani km yaliyotokea moshi na ushindi mlipata.
Acha kuandika ujinga basi
 
ELEZENI CHANZO CHA KUENGULIWA NA SIO KULALAMIKA, WEKA BARUA HAPA ILI TUISOME NA KUONA TUME IMESIMAMIA VIGEZO GANI ULIVYOVIKOSEA ILI TUONE KAMA VINA MASHIKO AU UMEONEWA.
KULALAMIKA BILAUSHAHIDI SIO SAHIHI.

WEWE HUWA NI MSHARI HATA KWA WANACHADEMA WENZIO NA PIA UMEWASABABISHIA KUHAMA CHAMA.
Ni yule yule mkurugenzi aliyempora umeya , rufaa imekwenda tume ya uchaguzi tusubiri
2244685_Mkurugenzi_wa_manispaa_ya_Ubungo_Beatrice_Dominic__amekiandikia_barua_chama_cha__640_X...jpg
2244685_Mkurugenzi_wa_manispaa_ya_Ubungo_Beatrice_Dominic__amekiandikia_barua_chama_cha__640_X...jpg
 
Toka lini makosa ya ujazaji wa fomu ikawa sababu ya kumnyima mtu haki yake ya kuchagua ama kuchaguliwa?

Kama kweli aliwahi kukutwa na makosa ya ukwepaji wa kodi,au kufungwa kwa kosa la jinai au labda si rais wa Tanzania hapo ingekuwa kweli.
Kunyimwa haki ya kugombea kwa sababu tu kuna mtawala hakutaki basi hii nchi itakuwa imerudi utumwani

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app


Unajua ,,masia wenu“ Tundu Lisu alienda kumshtaki Raisi Magufuli Tume ya Uchaguzi na kutaka aenguliwe kwa kosa gani? Unaijua sababu ya mtoto wa Taifa kumshitaki Raisi Magufuli?
 
Hiyo hoja yako ya kuipeleka nchi pabaya ni kinyume ukimaanisha viongozi wa CHADEMA wanakipeleka chama pabaya
Hapana. Hii tabia chafu isiyo kidemokrasia ya kuenguana haikuwepo ktk awamu zilizopita. Muasisi wa ukandamizaji huu wa demokrasia ni John. Ndiyo maana analaumiwa Sana na anastahili lawama.
 
Naamini kaenguliwa kwa mijibu wa sheria za uchaguzi za Nchi ,sheria hii nadhani imekuwepo tangu 1985, pia Lisu kaitumia kumwekea pingamizi Komrade JPM na wagombea wengine. Hapa JPM anahusikaje?!
Kaka ile slogan ya "great thinkers" mmebaki nayo ninyi hawa wengine wanapinga tu kwa kwenda mbele hawana hoja wapo wapo tu!
 
Back
Top Bottom