Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Ubungo, Dar: Boniface Jacob wa CHADEMA aenguliwa kugombea Ubunge

Kuna nchi flani mwaka Fulani wakati wa uchaguzi m\kiti wa tume alikuwa anajimwambafai na kufanya utopolo kama huu alishtukia uhalo wenye mchanganyiko na damu unamwagika ukiambatana na maumivu makali kumbe alitumbukizwa jambia huko log inverse ya mouth.
Mwaka ulofuata walikuwa na adabu ya kufa mtu.
 
John aliambatanisha picha kabisa.Tusemeni ukweli penye ukweli.

Kinachowaua chadema ni UBABE watanzania hatupo tayari kuandamana, kila kata nchi nzima eti tuandamane aanze yeye lisu na mkewe na wtt wake ktk kata yake, harafu Lema na mkewe na wtt wake ktk kata yake, then mbowe na mkewe na vimada wake na watt wake ktk kata yake.

Hii habari yakututanguliza wa tz haipo, tupigwe sisi nyie nawake zenu na wtt wenu mbaki mkila.

Mfano familia ya Mawazo huku geita inapata tabu mpaka kesho.
 
Hapana. Hii tabia chafu isiyo kidemokrasia ya kuenguana haikuwepo ktk awamu zilizopita. Muasisi wa ukandamizaji huu wa demokrasia ni John. Ndiyo maana analaumiwa Sana na anastahili lawama.
Haya tukubaliane John anakandamiza demokrasia, CHADEMA inambadala gani wakati kuna ushahidi kuwa hakuna demokrasia ndani ya chama chenyewe!
 
Mimi siyo kada wa chama chochote. Sina mahaba na chama chochote cha siasa. Mimi huandika ukweli bila kuongonzwa na mahaba.
Wewe dada Victoire ni kada mtiifu. Ila kuna nyakati huwa unaficha rangi yako halisi.......
 
Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Hizo form zina nini ambacho wagombea wasioweza kuzijaza vizuri ni wa upinzani pekee ?
 
Sisiemu haikujiandaa kwa uchaguzi. Walijiandaa kwa uteuzi kupitia nec. Wanataka kutuaminisha kua wapinzani tu ndo wana makosa. Imagine hakuna hata msisiem mmoja ameenguliwa eti tu wote wako sawa. Haiingii akilini hata punje. Haki inapaswa kutendeka kwa watu wote. Tume inaongozwa na sisiemu, wao ndo wanaamua nani apite na nani adhulumiwe. Tunakoelekea si kuzuri. Tume inalazimisha vita kwa kudhulumu haki za watu.
 
Duuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?

Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Mnyarwanda mhutu huyu mkuu...... Wala majina hayo matatu ya mbele sio yake
 
IKUMBUKWE, ACT wameweka pingamizi TUME imemuengua.

Ccm inaingiaje kwenye kesi zenu wana UKAWA???
Yaani ukawa mtiane makonzi ,mkivimba mnailaumu ccm???
 
IKUMBUKWE, ACT wameweka pingamizi TUME imemuengua.

Ccm inaingiaje kwenye kesi zenu wana UKAWA???
Yaani ukawa mtiane makonzi ,mkivimba mnailaumu ccm???
ACT ndo walimwekea pingamizi kumbe ??Yeye pia alimwekea pingamizi Kitila. Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu.
 
Back
Top Bottom