Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Trump Hakukosea kusema nchi za kiafrika na south America ni shithole states.Naona hata akikosea alama ya mkato anakatwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump Hakukosea kusema nchi za kiafrika na south America ni shithole states.Naona hata akikosea alama ya mkato anakatwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Upi labda ambao umeuona ni ujinga.Acha kuandika ujinga basi
Ni mkimbizi kutoka rwanda kwa kagame japo alikuja nchini akiwa mdogo sanaDuuh! CCM wanaipeleka nchi pabaya. Huyu John ni mtanzania wa asili kweli?
Mm taratibu naanza kuamini maneno ya Mange Kimambi kuhusu uraia wa huyu John
Anataka aitumbukize nchi ktk vita ili ifanane na Ileee.
Halafu ACT ndo waliweka pingamizi. Kubenea naona kaamua kulipa fitina alizofanyiwa na X mayor wa Ubungo.
Sema sababu kwa nini wamekuengua. Tatizo mnakosea kujaza form halafu mnalalamika.Wewe pia si uliweka pingamizi Kitila kakosea ,pingamizi limeishia wapi ?
Umesema umepewa barua,ya kuenguliwa,lakini hutuambii hiyo barua imesema nini sababu za kukuengua,ambazo tuma hakika zimeanis
Mgombea anasema amepewa barua kuelezewa sababu za kuenguliwa kwake.Sasa badala ya kutueleza hizo sababu ili tuweze kuzichanganua na kuwa NA UWEZO WA KUMSAIDIA ANASEMA nimekatwa kihuni.Sasa tumsaidiaje?Nani analipiza kisasi? Tatizo walichukua form kabla hata ya wana CCM huo muda walitakiwa watumie kuwasumbua wakurugenzi kuhakiki form kama kila kitu kipo OK.Yaani safari hii Tume wapo macho kosa dogo tu linakuengua. Enzi za JK waliyemwita dhaifu zilishapita.
Halafu mnasahau ACT ndo waliomuwekea pingamizi. Pingamizi limetick,hapana chezea Kubenea. Upanga kwa upanga.Bon ulimpiga vita Kubenea ili ugombee ubunge Ubungo. Kiko wapi ???Ccm peke yao ndio wanajua kujaza fomu.
Huu ni uchaguzi wa kwanza Chadema ??
Ukiona hivyo jua sababu zina mashiko.Anaogopa kuzitaja. Kubenea kalipa.Umesema umepewa barua,ya kuenguliwa,lakini hutuambii hiyo barua imesema nini sababu za kukuengua,ambazo tuma hakika zimeanis
Mgombea anasema amepewa barua kuelezewa sababu za kuenguliwa kwake.Sasa badala ya kutueleza hizo sababu ili tuweze kuzichanganua na kuwa NA UWEZO WA KUMSAIDIA ANASEMA nimekatwa kihuni.Sasa tumsaidiaje?
Hata mgombea wa ACT anaenguliwa. Plan ni kuwa ikifika tarehe ya uchaguzi wagombea wote wa ACT na Chadema waenguliwe. Katiba za Zanzibar na Tanzania bara wanataka zibadilishweHalafu ACT ndo waliweka pingamizi. Kubenea naona kaamua kulipa fitina alizofanyiwa na X mayor wa Ubungo.
Halafu mnasahau ACT ndo waliomuwekea pingamizi. Pingamizi limetick,hapana chezea Kubenea. Upanga kwa upanga.Bon ulimpiga vita Kubenea ili ugombee ubunge Ubungo. Kiko wapi ???
Mi nashangaa mtu eti anapambana hadi anataka kufa kisa akanitete bungeni hivi upo siriazi kweli? Yaani ujitolee kufa ili ukanitetee bungeni? Nitolee upumbavu wenu hapa.
Kwanini umeenguliwa?
Kiukweli anafiti kuwa wa Rwanda. Watanzania huwa hatuna roho mbaya kama ya John.Ni mkimbizi kutoka rwanda kwa kagame japo alikuja nchini akiwa mdogo sana
Huwa hawahi wala hachelewiAliye juu wa vyote ni wa vyama vyote pia! Si Lissu alisema hatamuachia yule aliye juu ya vyote, mbona hafanyi chochote! Zilikuwa nguvu za soda? Au!
Robert Amsterdam anachemsha dawa ya ccm. Huyu John ataozea gerezani.