LGE2024 Ubungo: Inadaiwa DC Awafungia ndani wagombea wa CHADEMA na kuagiza wapigwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
CHADEMA wazushi na waongo sana.Mmepoteza ushawishi kwa watanzania na kubakia watu wakutunga vihabari vya uongo na kizushi.
Siyo kweli. Mazingira wanayotengenezewa,inaonekana ni hivyo ila uhalisia siyo kweli.
 
upotoshaji haujawahi kuwasaidia chochote chadema,

Lakini pia kutafuta huruma ya wananchi haijawahi kuwaongeza chochote na popote ndrugo zangu chadema,

siasa ni kujipanga ndrugo zangu na si vinginevyo 🐒
Unachoandika wewe ni hisia na siyo uhalisia. Kujipanga unakozungumzia wewe ni pamoja na kuwafungia watu ndani?
Tumia kichwa chako vizuri kufikiria ndugu
 
Unachoandika wewe ni hisia na siyo uhalisia. Kujipanga unakozungumzia wewe ni pamoja na kuwafungia watu ndani?
Tumia kichwa chako vizuri kufikiria ndugu
nani akufungie ofisini wewe na unaonekana kabisa mwenye njaa njaa na kiu na huna jambo mfukoni?

unifie ofisini kwangu? useless and nonsense allegations 🐒
 
Kwahiyo waliokuwepo eneo la tukio wanadanganya? Vyombo vya habari vinadanganya? Ila wewe ndiyo una ukweli? Stiff necked fool!
Kwahiyo waliokuwepo eneo la tukio wanadanganya? Vyombo vya habari vinadanganya? Ila wewe ndiyo una ukweli? Stiff necked fool!
Kwahiyo waliokuwepo eneo la tukio wanadanganya? Vyombo vya habari vinadanganya? Ila wewe ndiyo una ukweli? Stiff necked fool!
ni waongo na wazushi kupindukia hao gentleman.

kwahiyo mtoa hoja useless kabisaaaa, ambae pia komando wa uzushi na propaganda za Chadema ndio chombo cha habari right?

na kwamba umebaki na mihemko na kingereza kichele right 🤣
 
Huu ni UCHAFUZI sio Tena UCHAGUZI.
 
ni waongo na wazushi kupindukia hao gentleman.

kwahiyo mtoa hoja useless kabisaaaa, ambae pia komando wa uzushi na propaganda za Chadema ndio chombo cha habari right?

na kwamba umebaki na mihemko na kingereza kichele right 🤣
Huelewi kwa sababu wewe ni mpumbavu
 
Siasa za bongo ziwe za chama kimoja. Ili wakishandwana humo ndani waunde majeshi yakuuwana na kutekana ndani ya chama hicho hicho.

Maana Dola limeshindwa kulinda vyama vingi.
Turudi mfumo wa chama kimoja tu
Mambo ya vyama vingi sijui demokrasi ni uchuro na kupoteza pesa na muda kwa vitu ambavyo havipo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…