OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Duuh, ni kama Gaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na wenzako ni wakupigwa tu tena sanaSiku yako yaja na haiko mbali
Acha mpigwe tu wazushi wakubwa nyie.Duuh, ni kama Gaza
Tupigeni Sana ila kuwasemea watanzania hatuachi nanyi siku yenu ikiwadia msipige keleleWewe na wenzako ni wakupigwa tu tena sana
Wewe ni wa kuchomwa moto kama vibaka wenzako wanavyochomwa endelea kujitoa akili tu dawa yako inachemka. Katika kutekeleza kanuni ya jino kwa jino wewe utakuwa mfano,umeshajiweka kwenye kulengeo mwenyewe kwa kutaka sifa za kijinga.Tena kama wewe ilitakiwa upigwe mpaka uchakae .Nitafurahi sana kuona na kusikia umepigwa vizuri mpaka akili ikukae sawa kichwani mwako.
Yaani ukae machakani huko halafu ujue kila linalotokea Tanzania wakati mwingine uwe unatulia unajipendekeza Hadi inafikia unatia aibu na kinyaaCHADEMA wazushi na waongo sana.Mmepoteza ushawishi kwa watanzania na kubakia watu wakutunga vihabari vya uongo na kizushi.
Unajua chawa ni sawa na shoga tu yaani wamejibadilishia matumizi.Yaani ukae machakani huko halafu ujue kila linalotokea Tanzania wakati mwingine uwe unatulia unajipendekeza Hadi inafikia unatia aibu na kinyaa
Si Wapige kinyesi humo humo ofisini! CHADEMA mbona tuko laini laini sana? Au wabomoe mlango!Wakuu,
Ameandika haya Malisa kupita kurasa yake ya Insta;
"DC Ubungo, amewafungia ndani Wagombea wa serikali za mitaa wa Chadema na kuagiza wapigwe kwa madai ya kuleta fujo ofisi za halmashauri. Wagombea hao ambao walienguliwa, walikata rufaa, lakini wakaambiwa rufaa zao zimetupiliwa mbali bila maandishi. Leo wameenda ofisi za halmashauri ya Ubungo, ili kushinikiza wapewe barua zinazoonesha kwamba rufaa zao zimetupiliwa mbali.
"Lakini badala ya kupewa barua, wamefungiwa ndani ya ofisi hizo huku DC akidai kwenda kuleta polisi ili kuwatia adabu (kuwapiga na kuwaweka mahabusu). Hali ni kama inavyoonekana, milango imefungwa kwa nje na wagonbea wa Chadema wapo ndani!"
View attachment 3153144
Kama unajiamini jitokeze hadharani kwa majina yako halisi na useme maneno yako haya halafu uone kitakachofuata.Wewe ni wa kuchomwa moto kama vibaka wenzako wanavyochomwa endelea kujitoa akili tu dawa yako inachemka. Katika kutekeleza kanuni ya jino kwa jino wewe utakuwa mfano,umeshajiweka kwenye kulengeo mwenyewe kwa kutaka sifa za kijinga.
Mimi CCM nimeijua tangu 2016 kipindi cha mwendawazimu jiwe.Wewe huoni kuwa hii ni hatua muhimu. Ungejulia wai kuwa CCM wamewehuka/wamekuwa vichaa kama wanavyo onyesha sasa bila ya CHADEMA kujitoa mhanga kama wanavyo fanya sasa?
Wewe unadhani uenda wazimu huu utawaacha salama CCM?
Unataka kumfanya nini? Huna uwezo wowote wewe nyumbu!Wewe mbwiga ipo siku yako na haiko mbali.
Ipo siku yatakukuta.Mpigwe tu maana hamjitambui kabisa.
Na wewe yako iko lini?Siku yako yaja na haiko mbali
We need free and fair electionKwamba wanasababisha fujo, ikumbukwe kwamba Wagombea wa uchaguzi wa serikali za Mitaa wa Chama hicho wapo kwenye ofisi za Halmashauri kusubiri hatima yao
Ngoja tusubiri namna watakavyopigwa kwa maelekezo ya Mtukufu DC
===============
"DC Ubungo, amewafungia ndani Wagombea wa serikali za mitaa wa Chadema na kuagiza wapigwe kwa madai ya kuleta fujo ofisi za halmashauri. Wagombea hao ambao walienguliwa, walikata rufaa, lakini wakaambiwa rufaa zao zimetupiliwa mbali bila maandishi. Leo wameenda ofisi za halmashauri ya Ubungo, ili kushinikiza wapewe barua zinazoonesha kwamba rufaa zao zimetupiliwa mbali.
Soma Pia:
"Lakini badala ya kupewa barua, wamefungiwa ndani ya ofisi hizo huku DC akidai kwenda kuleta polisi ili kuwatia adabu (kuwapiga na kuwaweka mahabusu). Hali ni kama inavyoonekana, milango imefungwa kwa nje na wagonbea wa Chadema wapo ndani!"
Nani waliosusa 2019-2020?2019/2020 WALIPOSUSA KILITOKEA NINI?
Jeuri ya dola inaongea, sio?Kama unajiamini jitokeze hadharani kwa majina yako halisi na useme maneno yako haya halafu uone kitakachofuata.