LGE2024 Ubungo: Inadaiwa DC Awafungia ndani wagombea wa CHADEMA na kuagiza wapigwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
DC kama DC lazima apandishwe cheo awe RC baada ya kuwashenyenta wagombea wa upinzani.
 
Tena kama wewe ilitakiwa upigwe mpaka uchakae .Nitafurahi sana kuona na kusikia umepigwa vizuri mpaka akili ikukae sawa kichwani mwako.
Wewe ni wa kuchomwa moto kama vibaka wenzako wanavyochomwa endelea kujitoa akili tu dawa yako inachemka. Katika kutekeleza kanuni ya jino kwa jino wewe utakuwa mfano,umeshajiweka kwenye kulengeo mwenyewe kwa kutaka sifa za kijinga.
 
CHADEMA wazushi na waongo sana.Mmepoteza ushawishi kwa watanzania na kubakia watu wakutunga vihabari vya uongo na kizushi.
Yaani ukae machakani huko halafu ujue kila linalotokea Tanzania wakati mwingine uwe unatulia unajipendekeza Hadi inafikia unatia aibu na kinyaa
 
Si Wapige kinyesi humo humo ofisini! CHADEMA mbona tuko laini laini sana? Au wabomoe mlango!
 
Wewe ni wa kuchomwa moto kama vibaka wenzako wanavyochomwa endelea kujitoa akili tu dawa yako inachemka. Katika kutekeleza kanuni ya jino kwa jino wewe utakuwa mfano,umeshajiweka kwenye kulengeo mwenyewe kwa kutaka sifa za kijinga.
Kama unajiamini jitokeze hadharani kwa majina yako halisi na useme maneno yako haya halafu uone kitakachofuata.
 
Wewe huoni kuwa hii ni hatua muhimu. Ungejulia wai kuwa CCM wamewehuka/wamekuwa vichaa kama wanavyo onyesha sasa bila ya CHADEMA kujitoa mhanga kama wanavyo fanya sasa?

Wewe unadhani uenda wazimu huu utawaacha salama CCM?
Mimi CCM nimeijua tangu 2016 kipindi cha mwendawazimu jiwe.
CCM walichofanya 2019 na 2020 ndicho kitakachofanywa 2024/2025
 
Kuna watu wanafkiri Mungu hayupo na ndio maana hofu ya Mungu imeondoka ndani yao,kuna watu wanaandaa laana ya vizazi vyao kwa kupenda,.
 
Kuna msemo usemao,

" Ujinga ni wakati wa kwenda tu, Si wakati wa kurudi"

Sasa CHADEMA kwenda na kurudi hakuna tofauti,

Yaani Kweli chama kilishindwa kufanya uchanganuzi wa yaliojiri 2019 Ili kupata namna ya kuyaepuka yasijirudie?

Katika hili Niko upande wa Lissu.
 
We need free and fair election
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…